King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Kwan Mungu ndo analeta matatzo?Siku hizi mumeanza kumpangia mungu muda wa kutokea matatizo?
Kati ya Mungu au shetan ,nani analeta matatzo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan Mungu ndo analeta matatzo?Siku hizi mumeanza kumpangia mungu muda wa kutokea matatizo?
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri jamaa anaitwa mng'oa kuchaKuna mwamba humu aliwahi kutoa tangazo la kulaani kunyimwa haki na hakimu mmoja halafu akatoa na siku kadhaa za matazamio.......The rest is the subject which deals with past events.....
Nakumbuka kilichofuata ilikuwa tanzia kutoka idara ya Mahakama.Kuna mwamba humu aliwahi kutoa tangazo la kulaani kunyimwa haki na hakimu mmoja halafu akatoa na siku kadhaa za matazamio.......The rest is the subject which deals with past events.....
Mi ntamuamini mtu nalala naye kitanda kimoja... kazini enyewe kuna watu nimefanya nao kazi miaka 4 ila bado siwaamini... verification ni muhimu sanaPole sana.
Umemuamini sana, ulitakiwa ku verify na kuwa karibu kwenye ku finalize malipo.
Inawezekana ikawa bora umemjua mapema, usiwe naye kwenye deal kubwa zaidi.
Whether utapata au hutapata hela zako, hesabu hili kama funzo. Inaonekana wewe mtafutaji na utapata pesa nyingine tu, epuka kuamini watu sana tatizo hili lisijirudie.
Never underestimate people's greed or overestimate their virtues.
Yule jamaa huwa natamani sana nimfahamu. Kiboko ya dhulma. Dawa ya watu wanaodhulumu watu ni kumalizana nao tuNakumbuka kilichofuata ilikuwa tanzia kutoka idara ya Mahakama.
Niliogopa SANA, aisee! Na muda alitaja.
Everyday is Saturday............................... 😎
Hili jamaa vip, kwani Mungu ndo anayeleta matatizo?? EbooSiku hizi mumeanza kumpangia mungu muda wa kutokea matatizo?
Alikua ni kijana wa gheto tu maana alifukuzwa kazi akashuka sanaa kiuchumi na hii project ndio ilimpa walau nafasi ya pili, anapokaa nilifika na vitu alivyoviacha thamani yake haizidi au haifiki milioni moja.
Mkuu Mimi nilipata tatizo linalofanana na la kwako miaka 2 iliyopita.Mbaya zaidi Mimi nilidhulumiwa na ndugu yangu.Ushauri wangu ni kwamba chukulia tukio hilo kama fundisho,achana na mawazo ya kulipiza kisasi hayana maana yoyote.Pesa zinatafutwa,utapata zingine,samehe na sahau.Sisi ni marafiki, alikua na kazi nzuri baadae akafukuzwa alishuka sanaa sanaa, akaanza upya... hii project yeye ndio mwanzo alini invite kwakua alikua hana hizo sifa zote timilifu zilizokua zinahitajika.
Mungu akupe moyo wa subra,ndo Mana watu wanachukNiliungana na rafiki angu tukaunda timu na tukafanya project na kampuni ya wa Asia, project tuliifanya kwa muda wa miezi tisa. Na hapa kati hakukua na malipo ya ziada au ya kazi zaidi tu ya malipo ya vitu vinavyohitajika wakati wa Project hasa accomodations na transports tu.
Huyu jamaa angu ni kama ndugu kabisa, tulikuwa na urafiki unaovuka mipaka, the guy was so deep na alikuwa Loyal yaan ni rafiki yule wa haswa haswa, rafiki ambae tumeshibana na tunaelewana mno mno wazee.
Hapa kati wakati Project inaendelea kuna wakati tuligombana na wabongo ambao walikuwa ni mamluki kwenye kampuni ilo la wa asia, huyu mshikaji wangu ndio aliwazingua sana baadae nikaingilia kati tukali-solve ilo tatizo na tukawa peace tena.
Sasa kuna wakati nilisacrifice kazi zangu za nje kibao ili tuisimamishe hii project sababu at the end of the day tulikuwa tunapata faida ya milion 20+ na tuko mtu mbili tu, so nikiwa na vimeo vingine nje (nna kazi nyingine nje tofauti na hii) nawaachia watu wengine wanifanyie kwa niaba.
Long story short, project iliisha salama sasa tukawa tunaanda bills na documents zingine ili wa asia watulipe hela zetu, so mshikaji wangu amesomea haya mambo ya uhasibu so ikawa kazi yake kuandaa then mwisho wa siku tupeleke na tukiwa tume attach na account zetu za malipo, mie nikapata kazi (kama nilivyosema nina kazi nyingine nje ya project) ambayo ilikuwa inanilazimu niende Dodoma kuikamilisha siku hiyo.
Mazee huyu rafiki angu ameshirikiana na wale wabongo wenzetu kwa wa asia wamempa hela yote huyu rafiki na sijui makubaliano yao au walipeana shingapi ila ndugu rafiki amekimbia na hela zote na hajulikani alipo, too sad hela alipewa cash (imagine) na mafacilitator ni hawa wabongo wenzetu wa kwa waasia. Jamaa hayupo popote ndani ya mji huu wa Dar.
Bado napambana kumpata na nimeshachukua hatua kubwa ya kumtafuta popote alipo ndani ya nchi hii, ila nimejiuliza maswali mengi sana na ambayo yamepelekea leo siku ya tano tunaenda sipati usingizi kabisaa na kila saa moyo wangu unauma na kuumwa kama vile kila siku naumizwa upya.
1. Ni kitu gani kimempata huyu ndugu yangu? Hustles zote zile tukiwa nae hakumbuki? Hakumbuki namna alivyokuwa irrelevant kwenye hii project na namna alivyochangia padogo sana kiasi hata asingekuwepo mradi ungesimama japo yeye ndio alilileta ili tenda? Why amesahau nafasi yake kwenye hili?
2. Ubongo wa mtu mdhulumati hua unawaza nini kichwani? Yaani future yake hua anaiona vp? Anapata usingizi huko alipo? is he happy? for how long?
3. Unawezaje kumsaliti rafiki yako ambae yuko loyal kwako? Hizo ni akili gani na roho ya namna gani hio?
4. Kwanini watu wengi wanakosa ubinadamu na haki pale hela zinapokuja? Je ukichukua haki ya mtu unadhani na yeye hato react back?
5. Nimfanye nini huyu mtu? Mbona nna haki zote hata nikiwafuata wataalam wa radi kwenye hili hawatosita kunisaidia tena bila masharti! Je mdhulumati huko aliko kama atakufa au akipata matatizo ambayo akiyaona sio kawaida atafanya nini?
Mwisho kabisa, nimeumizwa sanaa na maamuzi ya ndugu rafiki na nimekwama sanaa ktk kipindi ichi hasa nikikumbuka ile sacrifice na hustles za days and nights na ningeomba nitoe angalizo tafadhali mtu kama hakuzaliwa na wewe usimwamini kwa namna ya aina yoyote ile sababu uliezaliwa nae atleast kuna sehemu unaweza kumkamata.