Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Pole sana Mkuu issue km hii ilinitokea mimi aliondoka na mil 30, nilimtafuta nikampata nikamwambia nipe changu akagoma, nilipiga moyo konde japo kwa maumivu makali sana nikasamehe, hauwezi amini jamaa sasa hivi ni amechoka vibaya mno hana kitu leo ananiomba mia tano ya nauli, maisha haya acheni tu kutapeliwa na mtu wa karibu kunauma kinoma, unakuwa unajiuliza kwanini huyu anifanyie hivi ila ndo imeshatokea, piga moyo konde samehe km unaweza kubali umepoteza tu utapata amani ya nafsi kuendelea kuwaza utaumiza afya yako.
Pole sana mkuu. Ulifanya vyema kusamehe japo inauma. Pesa ya dhulma huwa haina manufaa. Ona sasa hiko kiasi cha pesa ni kikubwa sana lakini hakikumsogeza jamaa popote sana sana itakuwa aliitumia kwa starehe.
 
Mkuu kwa kua hujajua bado kilichompata huyo rafiki wako naomba tuliza kwanza moyo.....huwezi jua,labda anaumwa,amekufa,amepata matatizo,ameibiwa hizo hela,ameuguliwa,amefiwa etc......kwa nini tu uje na hypothesis moja tu......

Lakini kitu nachoshangaa na kukuona wewe ni MJINGA,utakuaje na rafiki ambaye hujui anapoishi,hujui wazazi wake,ndugu,jamaa na marafiki....narudia tena wewe ni MJINGA
🤣🤣🤣🤣 It's just my skepticism this is a fiction story umenifurahisha na hii comment ety wewe mjinga
 
Haki ya mtu haipotei bro itachelewa tu kukufikia soon
 
Ulozi wa kaka mshanajr ndo unaonekana faida yake sas a. Kaka mshana Huyo mfanye apalalize tu.
 
Mkuu kwa kua hujajua bado kilichompata huyo rafiki wako naomba tuliza kwanza moyo.....huwezi jua,labda anaumwa,amekufa,amepata matatizo,ameibiwa hizo hela,ameuguliwa,amefiwa etc......kwa nini tu uje na hypothesis moja tu......

Lakini kitu nachoshangaa na kukuona wewe ni MJINGA,utakuaje na rafiki ambaye hujui anapoishi,hujui wazazi wake,ndugu,jamaa na marafiki....narudia tena wewe ni MJINGA
Naona umepuliza halafu ukauma[emoji3]
 
Alikua ni kijana wa gheto tu maana alifukuzwa kazi akashuka sanaa kiuchumi na hii project ndio ilimpa walau nafasi ya pili, anapokaa nilifika na vitu alivyoviacha thamani yake haizidi au haifiki milioni moja.
ndo mana kumbe alikuwa mchovu tu,basi kuna mahali anapiga business ili akipata faida aje akulipe na mara nyingi wabachemkaga vibaya,atarudi tu na utamwona,omba Mungu sana ila mwanzo nlitaka nikwambie mpige juju ila kausha,bob marley alishawaigi imba UR BEST FRIEND COULD BE UR ENEMY
 
Back
Top Bottom