Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Huyu na wale wabongo wengine waliniwai walikula njama, ni kipindi ambacho tunaanda bills na mie kuchomoka kidogo tu ndio chance wakapata hapo na nilichomoka ndani ya masaa 24 tu.
Huwezi kuwa na Rafiki wa milele wala adui wa milele, am sure huwezi kumkosa hata mmoja kati ya walioshiriki, tafuta mbongo mmoja unayehisi amekula nae njama mtie ndani mpe tu askari buku 5, jamaa ataeleza yote na ziada juu na kibongo bongo unaeza kukuta wanawasiliana bado.....
 
Pole mkuu, mimi kuna rafiki yangu kanipiga 400k hadi sijui nimfanye nini.
 
Huwezi kuwa na Rafiki wa milele wala adui wa milele, am sure huwezi kumkosa hata mmoja kati ya walioshiriki, tafuta mbongo mmoja unayehisi amekula nae njama mtie ndani mpe tu askari buku 5, jamaa ataeleza yote na ziada juu na kibongo bongo unaeza kukuta wanawasiliana bado.....
Fuata huo huo ushauri.

Pia Kama una usongo Sana hela yako tafuta mtu awe private investigator wako amsake Jamaa Hadi ampate mumfanyie ambush
 
Alikua ni kijana wa gheto tu maana alifukuzwa kazi akashuka sanaa kiuchumi na hii project ndio ilimpa walau nafasi ya pili, anapokaa nilifika na vitu alivyoviacha thamani yake haizidi au haifiki milioni moja.

What makes you think amekudhulumu? Je hudhani kuwa wale waswahili mliokuwa nao kwenye hiyo project wanaweza kuwa wamemdhuru? Jaribu kutafuta ukweli pengine hayupo duniani!!!
 
Aise pole, fanya kupeleleza kwa ndugu zake, ujue nini kimempata au yuko wapi, naamini wao ni rahisi kujua alipo. Usifanye maamuzi yeyote kabla. Ila Kama utapata uhakika jamaa yupo mzima wa afya tele, Ila ameamua kukuzingua, ua free ku take any action u thn it's okay for u! Ova
 
PI unataka kuingia kazini
666 chata nimekuita lakini hujaitika.

Hawa matapeli wanadhibitika vizuri tu
Screenshot_20210702-201435.png
 
Kuna mwamba humu aliwahi kutoa tangazo la kulaani kunyimwa haki na hakimu mmoja halafu akatoa na siku kadhaa za matazamio.......The rest is the subject which deals with past events.....
 
Hukusoma injili?
Samehe 7 mara 70...
Bado ana nafasi 489 za kusamehewa na wewe
 
Mkuu kwa kua hujajua bado kilichompata huyo rafiki wako naomba tuliza kwanza moyo.....huwezi jua,labda anaumwa,amekufa,amepata matatizo,ameibiwa hizo hela,ameuguliwa,amefiwa etc......kwa nini tu uje na hypothesis moja tu......

Lakini kitu nachoshangaa na kukuona wewe ni MJINGA,utakuaje na rafiki ambaye hujui anapoishi,hujui wazazi wake,ndugu,jamaa na marafiki....narudia tena wewe ni MJINGA
Sawa... Ila ndo apatwe na hayo matatizo baada ya kupokea pesa?
 
Siku hizi mumeanza kumpangia mungu muda wa kutokea matatizo?
Kama una amini Mungu anapanga kila hatua na kila tukio katika maisha yako wewe kazi yako katika haya maisha ni nini?

Huyo Muhuni, kaingiwa tamaa
God is out of question hapo
 
Back
Top Bottom