Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Pole sana mkuu, kama una documents za kusapoti nenda police but kwa mimi ningemuacha tuu Mungu ni lazima atamnyoosha huko aliko

Kumuachia Mungu jambo lililo ndani ya uwezo wako ni ujinga. Mungu aache kuangalia watu wanakufa na njaa Sudan huko aje kukutafutia wewe tapeli wako? Hapa ni kumsaka na kumuadabisha mwenyewe.
 
Alikuwa ni kijana wa gheto tu maana alifukuzwa kazi akashuka sana kiuchumi na hii project ndio ilimpa walau nafasi ya pili, anapokaa nilifika na vitu alivyoviacha thamani yake haizidi au haifiki milioni moja.
Kama haonekani inawezekana pia akawa amepatwa na matatizo. Hivyo toa taarifa polisi ukieleza yote.. yaweza pia ikawa amedhulumiwa na patner wenu wengine au kafanyiwa kitu kibaya hata kuuliwa. MUHIMU UTOE TAARIFA POLISI. Watafanya uchunguzi toka alipopewa hayo malipo kitu ambacho wewe huwezi kufanya. PESA INAUA HUJASIKIA WATU WANAUA KWA SABABU YA MIA TANO AU ELFU CHACHE TU?
 
Safari ya mafanikio Ni ngumu Sana.unachokipitia wewe Kuna watu wengi wamekipitia..kutapeliwa na kudhulumiwa pesa nyingi hata Mara kumi ya hiyo...inaumiza inavunja Sana moyo...kwanza kwa nature ya kazi yenu ilikuwa kuaminiana zaidi kuliko documentation( bank,contract, payments etc) hapo itakupa ugumu kupata Chako hata ukimpata anaweza asikupe labda tu mtishiane maisha..Hii ni fundisho kwa wote ,Mambo ya kuaminiana dunia ya leo yamepitwa na wakati..unapowekeza fedha calculate Ni kwa namna gani u will be safe if anything happen ..usimwonee mtu aibu atanionaje...if Ni banks hao waasia wapewe muongozo akanti za kulipa na kutoa pesa bank utaratibu ujulikane..Sasa wewe unamwachia mtu afanye kila kitu halafu akuletee pesa mezanj hapo tegemea maumivu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwakuwa hujajua bado kilichompata huyo rafiki wako naomba tuliza kwanza moyo..... huwezi jua, labda anaumwa, amekufa, amepata matatizo, ameibiwa hizo hela, ameuguliwa, amefiwa etc...... kwa nini tu uje na hypothesis moja tu......

Lakini kitu nachoshangaa na kukuona wewe ni MJINGA,utakuaje na rafiki ambaye hujui anapoishi, hujui wazazi wake, ndugu, jamaa na marafiki....narudia tena wewe ni MJINGA
Naongeza tena ni mjinga wa Karne ya 21 ya Sayansi na Technologia! Utasemaje ni rafiki yako mlieshibana ili hali huna taarifa muhimu juu yake! hujui anapoishi, amepanga au amejenga, ameoa, ana watoto, anaishi na wazazi, ndugu zake, mke wake au wazazi wake na mwisho ni mwenyeji wa wapi hapa Tanzania..
 
Niliungana na rafiki angu tukaunda timu na tukafanya project na kampuni ya wa Asia, project tuliifanya kwa muda wa miezi tisa. Na hapa kati hakukua na malipo ya ziada au ya kazi zaidi tu ya malipo ya vitu vinavyohitajika wakati wa Project hasa accomodations na transports tu.

Huyu jamaa yangu ni kama ndugu kabisa, tulikuwa na urafiki unaovuka mipaka, the guy was so deep na alikuwa Loyal yaani ni rafiki yule wa haswa haswa, rafiki ambae tumeshibana na tunaelewana mno mno wazee.

Hapa kati wakati Project inaendelea kuna wakati tuligombana na wabongo ambao walikuwa ni mamluki kwenye kampuni ilo la wa asia, huyu mshikaji wangu ndio aliwazingua sana baadae nikaingilia kati tukali-solve ilo tatizo na tukawa peace tena.

Sasa kuna wakati nilisacrifice kazi zangu za nje kibao ili tuisimamishe hii project sababu at the end of the day tulikuwa tunapata faida ya milion 20+ na tuko mtu mbili tu, so nikiwa na vimeo vingine nje (nna kazi nyingine nje tofauti na hii) nawaachia watu wengine wanifanyie kwa niaba.

Long story short, project iliisha salama sasa tukawa tunaanda bills na documents zingine ili wa asia watulipe hela zetu, so mshikaji wangu amesomea haya mambo ya uhasibu so ikawa kazi yake kuandaa then mwisho wa siku tupeleke na tukiwa tume attach na account zetu za malipo, mie nikapata kazi (kama nilivyosema nina kazi nyingine nje ya project) ambayo ilikuwa inanilazimu niende Dodoma kuikamilisha siku hiyo.

Mazee huyu rafiki yangu ameshirikiana na wale wabongo wenzetu kwa wa asia wamempa hela yote huyu rafiki na sijui makubaliano yao au walipeana shingapi ila ndugu rafiki amekimbia na hela zote na hajulikani alipo, too sad hela alipewa cash (imagine) na mafacilitator ni hawa wabongo wenzetu wa kwa waasia. Jamaa hayupo popote ndani ya mji huu wa Dar.

Bado napambana kumpata na nimeshachukua hatua kubwa ya kumtafuta popote alipo ndani ya nchi hii, ila nimejiuliza maswali mengi sana na ambayo yamepelekea leo siku ya tano tunaenda sipati usingizi kabisaa na kila saa moyo wangu unauma na kuumwa kama vile kila siku naumizwa upya.

1. Ni kitu gani kimempata huyu ndugu yangu? Hustles zote zile tukiwa nae hakumbuki? Hakumbuki namna alivyokuwa irrelevant kwenye hii project na namna alivyochangia padogo sana kiasi hata asingekuwepo mradi ungesimama japo yeye ndio alilileta ili tenda? Why amesahau nafasi yake kwenye hili?

2. Ubongo wa mtu mdhulumati huwa unawaza nini kichwani? Yaani future yake huwa anaiona vipi? Anapata usingizi huko alipo? Is he happy? For how long?

3. Unawezaje kumsaliti rafiki yako ambae yuko loyal kwako? Hizo ni akili gani na roho ya namna gani hiyo?

4. Kwanini watu wengi wanakosa ubinadamu na haki pale hela zinapokuja? Je ukichukua haki ya mtu unadhani na yeye hato react back?

5. Nimfanye nini huyu mtu? Mbona nna haki zote hata nikiwafuata wataalam wa radi kwenye hili hawatosita kunisaidia tena bila masharti! Je mdhulumati huko aliko kama atakufa au akipata matatizo ambayo akiyaona sio kawaida atafanya nini?

Mwisho kabisa, nimeumizwa sanaa na maamuzi ya ndugu rafiki na nimekwama sanaa ktk kipindi hiki hasa nikikumbuka ile sacrifice na hustles za days and nights na ningeomba nitoe angalizo tafadhali, mtu kama hakuzaliwa na wewe usimwamini kwa namna ya aina yoyote ile sababu uliezaliwa nae atleast kuna sehemu unaweza kumkamata.
We acha ujinga, hao wabongo watakuwa wamemuua kisha wakamtupa huko porini, halafu wewe wanakuambia amekimbia, tumia akili wewe...
 
Niliungana na rafiki angu tukaunda timu na tukafanya project na kampuni ya wa Asia, project tuliifanya kwa muda wa miezi tisa. Na hapa kati hakukua na malipo ya ziada au ya kazi zaidi tu ya malipo ya vitu vinavyohitajika wakati wa Project hasa accomodations na transports tu.

Huyu jamaa yangu ni kama ndugu kabisa, tulikuwa na urafiki unaovuka mipaka, the guy was so deep na alikuwa Loyal yaani ni rafiki yule wa haswa haswa, rafiki ambae tumeshibana na tunaelewana mno mno wazee.

Hapa kati wakati Project inaendelea kuna wakati tuligombana na wabongo ambao walikuwa ni mamluki kwenye kampuni ilo la wa asia, huyu mshikaji wangu ndio aliwazingua sana baadae nikaingilia kati tukali-solve ilo tatizo na tukawa peace tena.

Sasa kuna wakati nilisacrifice kazi zangu za nje kibao ili tuisimamishe hii project sababu at the end of the day tulikuwa tunapata faida ya milion 20+ na tuko mtu mbili tu, so nikiwa na vimeo vingine nje (nna kazi nyingine nje tofauti na hii) nawaachia watu wengine wanifanyie kwa niaba.

Long story short, project iliisha salama sasa tukawa tunaanda bills na documents zingine ili wa asia watulipe hela zetu, so mshikaji wangu amesomea haya mambo ya uhasibu so ikawa kazi yake kuandaa then mwisho wa siku tupeleke na tukiwa tume attach na account zetu za malipo, mie nikapata kazi (kama nilivyosema nina kazi nyingine nje ya project) ambayo ilikuwa inanilazimu niende Dodoma kuikamilisha siku hiyo.

Mazee huyu rafiki yangu ameshirikiana na wale wabongo wenzetu kwa wa asia wamempa hela yote huyu rafiki na sijui makubaliano yao au walipeana shingapi ila ndugu rafiki amekimbia na hela zote na hajulikani alipo, too sad hela alipewa cash (imagine) na mafacilitator ni hawa wabongo wenzetu wa kwa waasia. Jamaa hayupo popote ndani ya mji huu wa Dar.

Bado napambana kumpata na nimeshachukua hatua kubwa ya kumtafuta popote alipo ndani ya nchi hii, ila nimejiuliza maswali mengi sana na ambayo yamepelekea leo siku ya tano tunaenda sipati usingizi kabisaa na kila saa moyo wangu unauma na kuumwa kama vile kila siku naumizwa upya.

1. Ni kitu gani kimempata huyu ndugu yangu? Hustles zote zile tukiwa nae hakumbuki? Hakumbuki namna alivyokuwa irrelevant kwenye hii project na namna alivyochangia padogo sana kiasi hata asingekuwepo mradi ungesimama japo yeye ndio alilileta ili tenda? Why amesahau nafasi yake kwenye hili?

2. Ubongo wa mtu mdhulumati huwa unawaza nini kichwani? Yaani future yake huwa anaiona vipi? Anapata usingizi huko alipo? Is he happy? For how long?

3. Unawezaje kumsaliti rafiki yako ambae yuko loyal kwako? Hizo ni akili gani na roho ya namna gani hiyo?

4. Kwanini watu wengi wanakosa ubinadamu na haki pale hela zinapokuja? Je ukichukua haki ya mtu unadhani na yeye hato react back?

5. Nimfanye nini huyu mtu? Mbona nna haki zote hata nikiwafuata wataalam wa radi kwenye hili hawatosita kunisaidia tena bila masharti! Je mdhulumati huko aliko kama atakufa au akipata matatizo ambayo akiyaona sio kawaida atafanya nini?

Mwisho kabisa, nimeumizwa sanaa na maamuzi ya ndugu rafiki na nimekwama sanaa ktk kipindi hiki hasa nikikumbuka ile sacrifice na hustles za days and nights na ningeomba nitoe angalizo tafadhali, mtu kama hakuzaliwa na wewe usimwamini kwa namna ya aina yoyote ile sababu uliezaliwa nae atleast kuna sehemu unaweza kumkamata.
Pole sana, ila msamehe na usonge mbele ila usisahau Don't trust anybody linapokuja suala la pesa.Ubaya ubaya tu.
 
Yote kwa yote hakikisha jasho lako halipotei kaka kwa njia yoyote ile ….
 
Wakuu nawashukuruni sanaa, meseji zenu zimenifariji sanaa, nimefarijika kuona kuna wengine wamewai kupoteza vikubwa sanaa zaidi yangu, bado naendelea kujifunza taratibu ntaanza kurecover ila moyo wa kusamehe sidhani kama nnao ila ntasahau tu. Shukrani sana[emoji1487][emoji1488]
Chata,

Ni miezi zaidi ya 7 sasa tangu jamaa akupige.

Tunaomba mrejesho!!!
 
Mrejesho Mfupi wadau;


Baada ya kumtafta sana jamaa bila mafanikio, mwaka jana mwezi wa 12 alinitafuta yeye mwenyewe whatsap kwa namba mpya akaniambia aliitumia ile pesa kwenda South Africa kutafuta maisha, akanitumia na picha zake akiwa huko South na akaniomba sana msamaha(kitu cha kijinga tu ofcoz) na aka ahidi akirudi bongo atanirudishia hela yangu nimuwie radhi sana.

Nilimwambia "mzee bado sijakusamehe na sitokusamehe, nataka hela yangu kabla ya mambo mengine yote".

So najua now ata yeye huko alikokwenda ni kama aliitupa tu hio hela instead angeitumia hapa hapa bongo labda kuna uwezekano ingezaa, maana ukipiga hesabu hapo siku za kwanza kwanza tu kwenda South ni wazi nusu ya hela iliishia kwenye nauli na accomodations na ushamba wa mji tu.

Tukio hili limenifanya nijiulize maswali mengi sana, moja ni; inakuaje kijana wa umri wa miaka 30 ana waza kwenda kwenye nchi ya kiafrica kutafuta maisha sehemu ambayo ni very dangerous na kuna vitisho vikubwa vya mauaji kwa raia weusi wa kigeni? au shetani kazi yake kukupa ramani, matamanio alaf ana kuseti ufe? So sad.
 
Back
Top Bottom