Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.

Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.

Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.

Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.

Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.

Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
 
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.

Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.

Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.

Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.

Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.

Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Kiufupi-Maelezo yako hayana consistence.Sorry to say that!
 
Crown lenyewe loyal kumbe!!?
Angekuachia Athlete ingekuwaje mkuu?
Kwamba unataka ufananishe huo uchafu na Vanguard?
Brother kuwa serious bhas.
Kwan yeye kafananisha?!! au kazungumzia comfortability na stability aliyo experience baada ya kuendesha Crown kwa mara ya kwanza. Crown limetulia barabaran na lina comfortability nzuri sana unaweza ukawa upo speed 150km na usijue kabisaaa
 
Crown lenyewe loyal kumbe!!?
Angekuachia Athlete ingekuwaje mkuu?
Kwamba unataka ufananishe huo uchafu na Vanguard?
Brother kuwa serious bhas.
Vanguard ina nini zaidi ya kuwa juu? It's a stretched Toyota RAV4 hamna cha ziada. Crown build quality na vitu vingi iko kiwango cha juu zaidi ya Vanguard. Vanguard itazidi Crown kuwa body iko juu tu hamna kingine.
 
Kuna jamaa alikuwa na Bmw x3 alikuwa na speed kubwa sana akagongana na Scania uso kwa uso lakin ile Bmw haikupata ata mkwaluzo na jamaa alitoka ktk gari lake salama salmin. Ni aina ya stori wajeruman weusi upenda kuzisikia😂😂
😂😂😂 ata mkwaruzo uwongo? 😂😂😂😂

Punchline ya mwisho umeniua.
 
Back
Top Bottom