Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Gari yangu haifiki kijijini barabara ni mbaya sana. Nitunzie yangu huku mjini kwenye lami nipe yako nikaue hayo mashokup na mabush huko porini.
Mkuu sio shida kama mtu unamuamini lakini pia vitu vidogo vidogo kama hivyo uliviwaza sana maisha yatakua magumu sana.

Unampa mtu chombo kwa makubaliano akuharibu atatengeneza na ikiharibika pakubwa bima itatengeneza inakua haina shida kiongozi.

Tuishi kwa kuaminiana na kusaidiana mkuu.
 
Mkuu sio shida kama mtu unamuamini lakini pia vitu vidogo vidogo kama hivyo uliviwaza sana maisha yatakua magumu sana.

Unampa mtu chombo kwa makubaliano akuharibu atatengeneza na ikiharibika pakubwa bima itatengeneza inakua haina shida kiongozi.

Tuishi kwa kuaminiana na kusaidiana mkuu.
Hakuna anayekulaumu kutoa gari, huyo ni wewe na mfumo wako wa maisha na unavyotafsiri mipaka ya kushare vitu...

Kila mtu ana mipaka ya msaada na mipaka ya kushare vitu, wala hakuna mawazo yoyote hapo. Kuna watu wanaazimana hata mataulo, inategemeana tu wewe mipaka yako umeiweka wapi.

Kuna wengine gari ni swala very private, akishaset position ya kiti chake na usukani na ana files na document zake kwenye droo za gari, ukimwambia toa vitu vyako na kuvuruga mpangilio wa gari lake ili akupe uende nalo kijijini kwenu anaona ni bora akukodishie gari.
 
Zinawaua malimbukeni.
Vijana na zile crown za 2004 mil 12, hapo kajichanga sana baada ya kuuza vitz yake, odo inasoma kama km 250k + hapo gari imepita kwenye mikono kama yote + service haina + uzoefu alionao mara ya mwisho alikuwa anamiliki vitz + katumia kilevi + barabara za bongo hazina viwango,bumps hapa na hapa + speed 180 + kakutana na dereva hajielewi kama yeye = kifo.

hapo mnazilaumu crown bure tu, haya magari kwa wenzetu kama huko germany mtu anatembea na 300km/hr highway na asubuhi unakuta wanakwenda kazini wanafanya ligi barabarani,
namiliki bmw lakini crown ni mnyama sana, japo kwa mkoloni anasubiri... hata bmw m series zingekuwa cheap zingewachinja sana hawa madogo vichwa panzi... ungesikia bmw m3 inaua sana vijana...
 
Vanguard ina nini zaidi ya kuwa juu? It's a stretched Toyota RAV4 hamna cha ziada. Crown build quality na vitu vingi iko kiwango cha juu zaidi ya Vanguard. Vanguard itazidi Crown kuwa body iko juu tu hamna kingine.
Jamaa yangu nnacho kupendeaga wewe unafiki huuwezi kabisa penye ndio unasema ndio na penye hapana unasema hapana. Najua ww ni mpenzi wa European cars lakin linapokuja swala la Japanese cars ambazo zinasifa na zinastahili kusifiwa uwaga upindishi maneno kabisa, Toyota crown ni gari ya viwango sana it's a real executive sedan
 
Vijana na zile crown za 2004 mil 12, hapo kajichanga sana baada ya kuuza vitz yake, odo inasoma kama km 250k + hapo gari imepita kwenye mikono kama yote + service haina + uzoefu alionao mara ya mwisho alikuwa anamiliki vitz + katumia kilevi + barabara za bongo hazina viwango,bumps hapa na hapa + speed 180 + kakutana na dereva hajielewi kama yeye = kifo.

hapo mnazilaumu crown bure tu, haya magari kwa wenzetu kama huko germany mtu anatembea na 300km/hr highway na asubuhi unakuta wanakwenda kazini wanafanya ligi barabarani,
namiliki bmw lakini crown ni mnyama sana, japo kwa mkoloni anasubiri... hata bmw m series zingekuwa cheap zingewachinja sana hawa madogo vichwa panzi... ungesikia bmw m3 inaua sana vijana...
kuna dogo moja alikuwa ane anazaliwa sana crown, nikampakia jana .. alishangaa nilivyo futa 180 na gari ipo kama haiendi vile, akanyoosha mikono
 
Huko kuwa Mid SUV ndo kumzidi. BodyLife span ya vanguard humu nchini huwezi linganisha na crown.
CROWN ni gari kali sana though when it comes to performance na maspidi ya ghafla ghafla kulinganisha na vanguard au rav 4 ya mwaka wake.
Hicho tu ndiyo useme hiyo Uchafu?Body kuwa juu ndiyo point yako kubwa hiyo nyingine kuita Uchafu??
 
Back
Top Bottom