Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Ni gari flani hivi ukiwa offroad usiyoielewa basi muda wote akili ifanye hesabu kukwepa mashimo, miinuko mabonde.

Ni mahesabu tu, unawaza pale itabidi nile kushoto nirudi kulia halafu nifanye kama naibia hivi, ukienda m200 tena unawaza hapa nishuke taratiibu halafu nihakikishe tairi za mbele moja ipo juu nyingine chini, m100 tena unawaza hapa tairi ya nyuma inabidi niinyanyue nikikosea tu nang'oa bampa n.k n.

Halafu ukikaribia unapoenda ukajisahau ukaenda mbio kidogo ukakutana na shimo hujaliona unasikia tu ghrwyyyaaaassh, mlio fulani hivi wa kukuambia unaburuza bampa.
Mkuu kuna sedan za AWD hauwazi mguu huu ukae huku wala nini pia sedan za rear wheel drive ni nzuri pia huwazi biashara ya tairi moja iwe juu
 
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.

Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.

Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.

Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.

Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.

Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Kuna hi I Mercedes kompresa
 
Ni gari flani hivi ukiwa offroad usiyoielewa basi muda wote akili ifanye hesabu kukwepa mashimo, miinuko mabonde.

Ni mahesabu tu, unawaza pale itabidi nile kushoto nirudi kulia halafu nifanye kama naibia hivi, ukienda m200 tena unawaza hapa nishuke taratiibu halafu nihakikishe tairi za mbele moja ipo juu nyingine chini, m100 tena unawaza hapa tairi ya nyuma inabidi niinyanyue nikikosea tu nang'oa bampa n.k n.

Halafu ukikaribia unapoenda ukajisahau ukaenda mbio kidogo ukakutana na shimo hujaliona unasikia tu ghrwyyyaaaassh, mlio fulani hivi wa kukuambia unaburuza bampa.
Kama unakaa Kumara,mbezi Makabe na sehemu kama hizo lazima uhangaike upate hata RAV4 massawe, lakini Kwa Sisi tunaokaa sehemu zisizo na barabara za ajabu sedan wala hazisumbui. Kuendesha Kwa mahesabu kama dereva ni muhimu
 
Ukweli kuendesha sedan kweNye rough road ni mateso makubwa Sana hata Raha ya gari huwezi ona, lazima kuendesha mwendo wa kobe , mazingira ya Barbara zetu siyo rafiki kwa sedan matuta yenyewe yameinuka ni hatari, sasa Kama uko bush km 60 rough road si mateso hayo, suv ni gari zuri kwa barabara zetu za bongo.
 
Kama unakaa Kumara,mbezi Makabe na sehemu kama hizo lazima uhangaike upate hata RAV4 massawe, lakini Kwa Sisi tunaokaa sehemu zisizo na barabara za ajabu sedan wala hazisumbui. Kuendesha Kwa mahesabu kama dereva ni muhimu
Sio kimara tu ama mbezi makabe.

Kwa hapa Dar sehemu zote isipokua masaki na upanga tu ndio barabara zinaputika kwa urahisi kwa sedan ila maeneo mengine yote ni changamoto.
 
Sio kimara tu ama mbezi makabe.

Kwa hapa Dar sehemu zote isipokua masaki na upanga tu ndio barabara zinaputika kwa urahisi kwa sedan ila maeneo mengine yote ni changamoto.
Zipo sehemu kibao sedan hazipati shida labda huijui Dar vizuri. Kwenye njia mbaya sana ni huko milimani Goba, Kimara, Makabe etc
 
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.

Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.

Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.

Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.

Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.

Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Kwamba interior space ni ndogo? Unajua hiyo electronic adjustable seat inashuka chini mkuu kwa ajili ya watu warefu hata 7ft tall anakaa!!
 
Kwamba interior space ni ndogo? Unajua hiyo electronic adjustable seat inashuka chini mkuu kwa ajili ya watu warefu hata 7ft tall anakaa!!
Sio kweli, 7ft hakai mle.

Mimi ni 6.3 lakini kichwa kinagonga juu ya roof na hapo itabidi kioo chote cha mbele kisiwe na ile tint ya juu, chote kiwe cheupe.

Lakini pia hata kuangalia side mirror ni changamoto inabidi uiname kidogo. 7 feet mle hakai hata kama a-adjust vipi kile kiti.
 
Sio kweli, 7ft hakai mle.

Mimi ni 6.3 lakini kichwa kinagonga juu ya roof na hapo itabidi kioo chote cha mbele kisiwe na ile tint ya juu, chote kiwe cheupe.

Lakini pia hata kuangalia side mirror ni changamoto inabidi uiname kidogo. 7 feet mle hakai hata kama a-adjust vipi kile kiti.
Aisee 6'3" kichwa chako kinagonga roof?! Kweli few inches make a big difference
 
Kuna watu wanasoma huu uzi lakini wanaamini kabisa hauna uwezo wa kumiliki mchuma
 
Crown lenyewe loyal kumbe!!?
Angekuachia Athlete ingekuwaje mkuu?
Kwamba unataka ufananishe huo uchafu na Vanguard?
Brother kuwa serious bhas.
Kwamba athlete ni matata kuliko royar[emoji9] ?
 
Sio kweli, 7ft hakai mle.

Mimi ni 6.3 lakini kichwa kinagonga juu ya roof na hapo itabidi kioo chote cha mbele kisiwe na ile tint ya juu, chote kiwe cheupe.

Lakini pia hata kuangalia side mirror ni changamoto inabidi uiname kidogo. 7 feet mle hakai hata kama a-adjust vipi kile kiti.
Huenda nimecompare na gari ninayoijua yenye features tofauti. Hiyo gari seat yake haishuki chini kwenye upande wa kiuno?
 
Back
Top Bottom