Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

Ok, hakuna kitu cha kumfaa kila mtu na kila wakati ndio maana akaazima la kwako limpeleke kijijini.
Mimi napenda gari ya juu, iwe 4wD. Ample space ya mizigo nyuma hivyo nina grand vitara. Ni nzito na peformance yake ni nzuri njiani.
Sio gari ya kuharibika haribika hovyo ingine imetulia sana. Ina improvised cooling system ya mkonga.
Siku mvua ikinyesha sana mjini napita bila shida. Kokote inafika vizuri. A great family car.
 
Ukijifanya kuendesha Vanguard kwenye offroad kama gari ya off-road inakula kwako. Iko juu haitakwaruza chini lakini bush ball joint na vitu kama hivyo ugumu wake hauna tofauti na za gx100. Naongea kwa experience.
Hazina ugumu wowote wa kufanya ufukie mashino,ukifukia mashino safari za gereji kubadili bush haziishi na ugonjwa wake mkubwa hizo gari ni steering rack.
 
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.

Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.

Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.

Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.

Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.

Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Okay fanya haraka urudishe gari la Kaka yako.
 
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.

Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.

Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.

Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.

Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.

Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Acha kuvimbisha watu vichwa. Japan crown ni TAXI

images (1) (8).jpeg
 
Kuna mahali nilisikiaga wanasema kwa mtoto ambaye hajawahi kutoka akala chakula kwa jirani, ndugu na jamaa wengine au hata mgahawani. Huishi maisha yake akijua na kuamini kwa dhati kabisa kuwa mama yake ndio mpishi bira duniani.
 
Back
Top Bottom