RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Ha ha haAnahisi sisi ni 5'4"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haAnahisi sisi ni 5'4"
Mkiwa mmesimama kwenye kituo cha mabasi huku mnawaangalia wenye magari wanavyojidai wapo busy na simu zao wakati ni waongo hawaongei na mtu.Ni wachoyo wa kutoa lift.😂😂😂😂😂Tusio na magari tu comment wapi
Sisi wapenda kufika mapema mkoani, Crown ni moja ya nyenzo zetu muhimu sanaaaa....
Bati lile mepesi sana,Eti body ya Vanguard ngumu! Nampa mtu challenge atafute Vanguard na Crown ziwe pamoja. Fungua na kufunga mlango wa Crown na Vanguard halafu linganisha.
Mlango wa Vanguard mwepesi kama wa kirikuu.
Okay fanya haraka urudishe gari la Kaka yako.Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.
Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.
Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.
Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.
Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.
Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Acha kuvimbisha watu vichwa. Japan crown ni TAXINiwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.
Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki ama namiliki mojawapo ya hayo magari ya aina hiyo na ambayo wakati nakua, ndugu zangu ndio walikua wanamiliki ya aina hiyo.
Sasa juzi hapa kuna mshikaji wa ofisini alinunua toyota royal crown. Sio muda akapata safari ya kwenda bush kwao, sasa kwa kua anafahamu mazingira ya bush kwao, akasema crown itampa shida kule bush, angalau apate gari kubwa ya juu kidogo kuhimili mikiki mikiki ya bush. Akaniomba gari yangu atumie na aniachie ya kwake nitumie hadi atakaporudi.
Kweli, baada ya kubaki na crown nimeelewa kwa nini vijana wanazipenda, ni nzito, zinatulia barabani, zina stability kubwa na pia comfortability nzuri. Gari iko 150 lakini huhisi kama uko 150.
Kweli ni gari nzuri lakini mimi binafsi sizipendi sababu mimi ni mrefu, nikiingia ndani kichwa kinagonga kwenye roof, ni gari nzuri kwa average or below average size persons.
Naomba kukiri kua crown ni gari nzuri kwa upande wangu nimepata ladha yake nimeipenda ingawa siwezi kuinunua.
Kwasababu ndio most comfortable among Toyota sedans. Hata Germany and Europe in general S class MB, 7series BMW ni taxi. Kwa wenzetu gari Bora ndio taxi hawapendi vibovu.
Si hapa bongo IST ndo most comfortable?Kwasababu ndio most comfortable among Toyota sedans. Hata Germany and Europe in general S class MB, 7series BMW ni taxi. Kwa wenzetu gari Bora ndio taxi hawapendi vibovu.
Most economical kwa terms zetu za kibongo bongo.Si hapa bongo IST ndo most comfortable?
Hapo sawa. Wengi wameenda kuweka mapipa ya gesi kwenye butiMost economical kwa terms zetu za kibongo bongo.
Hapana. Nimesema kwa wenzetu. Hapa kitu cha Kwanza tunaangalia unafuu. Kwa mteja na mmiliki. Uwezo wetu mdogo gharama za Crown kuwa taxi nauli yake wengi hawataweza.Si hapa bongo IST ndo most comfortable?
Sijuagi jamaa wa Uber wanapataje faida na hv mafuta yamepanda toka 1900/LTR mpaka 2501/ltr (Dar)Hapana. Nimesema kwa wenzetu. Hapa kitu cha Kwanza tunaangalia unafuu. Kwa mteja na mmiliki. Uwezo wetu mdogo gharama za Crown kuwa taxi nauli yake wengi hawataweza.
ISt inaenda zaidi ya km 13 Kwa Lita(2500)Sijuagi jamaa wa Uber wanapataje faida na hv mafuta yamepanda toka 1900/LTR mpaka 2501/ltr (Dar)
Kwasababu ndio most comfortable among Toyota sedans. Hata Germany and Europe in general S class MB, 7series BMW ni taxi. Kwa wenzetu gari Bora ndio taxi hawapendi vibovu.