JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Haya sasa ndo yanaitwa mahaba ya gari. Haya, Hakuna pa kuharibu body ya crown..... barabara zetu ni rafiki sana kwa hizo gari.Hio Gari anakua anaipitisha wapi mpk ahitaji fundi body?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sasa ndo yanaitwa mahaba ya gari. Haya, Hakuna pa kuharibu body ya crown..... barabara zetu ni rafiki sana kwa hizo gari.Hio Gari anakua anaipitisha wapi mpk ahitaji fundi body?
Hizo Gari hua zinaenda kugonga miti barabarani itakua.Haya sasa ndo yanaitwa mahaba ya gari. Haya, Hakuna pa kuharibu body ya crown..... barabara zetu ni rafiki sana kwa hizo gari.
Hizo Gari hua zinaenda kugonga miti barabarani itakua.
Labda urudie wewe kusoma hivi unaweza kuamini kwamba kipindi wewe unapenda body iwe juu mwingine anapenda performance and comfortability??Rudia kusoma
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]anazingua huyo aiseeHio Gari anakua anaipitisha wapi mpk ahitaji fundi body?
Mpk sa hivi mdau bado sijamuelewa mkuu, 😄😄😄.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]anazingua huyo aisee
Huko kutengeneza body unaendaga peke yako Nini mkuu?,Mbona saloon cars tunazo miaka na miaka na huko body hatwendi mkuu?Miti ipi, crown ipo chini huwezi linganisha na SUV yoyote linapokuja suala la barabara zetu hizi. Na hiyo haimaanishi kuwa ni gari baya, hapana ni gari zuri sana ila ukiwa nayo ukatumia kama mtu mwenye SUV kila siku utaenda body. Na hapo ndipo thamani ya SUV inapoonekana.
Juu kushotoTusio na magari tu comment wapi
Rudia kusoma ili umquote aliyeiita hiyo gari takataka. Kuhusu performance na comfort nimesema mid SUV umuhimu na thamani yake ni kwamba ipo juu sijalinganisha perfonce na comfort. Kuhusu akipendacho mtu sio tatizo langu kama vile mapenzi yangu kwa aina ya gari nilitakalo lisivyo tatizo wengine.Labda urudie wewe kusoma hivi unaweza kuamini kwamba kipindi wewe unapenda body iwe juu mwingine anapenda performance and comfortability??
Vanguard kopo kbs hilo linachoka vibaya balaa hilo ni takataka kbsCrown lenyewe loyal kumbe!!?
Angekuachia Athlete ingekuwaje mkuu?
Kwamba unataka ufananishe huo uchafu na Vanguard?
Brother kuwa serious bhas.
Mazingira uliyopo na unapoishi huenda ni rafiki sana.Huko kutengeneza body unaendaga peke yako Nini mkuu?,Mbona saloon cars tunazo miaka na miaka na huko body hatwendi mkuu?
Mkuu nilishakua na Altezza kipindi flani na sikuwahi kuiwekea Spencer so ilikua chini sana,hizo zig zag nimepiga Sana lkn sikuwahi kuona hio life span ya body ikipungua.Mazingira uliyopo na unapoishi huenda ni rafiki sana.
Mm kwa sasa sina saloon, nina SUV. Ila wakati nipo na saloon mithili ya crown au kama ikitokea nikatumia, nikiwa barabara za rough sipo huru kama nikiwa na SUV maana zipo chini na saa yoyote nagusa bampa au kukwaruza. Kila wakati inabidi niende zigzag motion.
Sasa hiyo effort uliyokuwa unatumia usiharibu body usingeitumia kama gari ipo juu. Ndo umuhimu wa SUV.Mkuu nilishakua na Altezza kipindi flani na sikuwahi kuiwekea Spencer so ilikua chini sana,hizo zig zag nimepiga Sana lkn sikuwahi kuona hio life span ya body ikipungua.
Kama una pesa bora uwe na gari zote SEDAN & SUV.Sasa hiyo effort uliyokuwa unatumia usiharibu body usingeitumia kama gari ipo juu. Ndo umuhimu wa SUV.
Hakuna haja ya kulibishia hili maana hata SUV ukiwa nalo utamiss vitu flani flani vya saloon. Sasa ni suala la unachotaka na ulichotayari kupoteza.
Yap... kabisa.Kama una pesa bora uwe na gari zote SEDAN & SUV.
Na utabadilisha accordingly.
Hakika mkuu,tena ukiwa na SUV ya mzungu mbona utaona utamu wa kumiliki gari.Kama una pesa bora uwe na gari zote SEDAN & SUV.
Na utabadilisha accordingly.
Ninachopendea SUV kuna zile bumps za ghafla ambazo huzijui unazifukia at minimal damage.Sasa hiyo effort uliyokuwa unatumia usiharibu body usingeitumia kama gari ipo juu. Ndo umuhimu wa SUV.
Hakuna haja ya kulibishia hili maana hata SUV ukiwa nalo utamiss vitu flani flani vya saloon. Sasa ni suala la unachotaka na ulichotayari kupoteza.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]shida sana aiseeMpk sa hivi mdau bado sijamuelewa mkuu, [emoji1][emoji1][emoji1].
Duuh wewe ndiye umenistua,alipoansika 150 nilidhani kgs kumbe alimaanisha 150 kph? he must be insane😁mpaka utakapojikuta mijuu guu kichwa chini ndio utajua kama ulikua 150, mwendokasi haufai sheikhe
Ni gari flani hivi ukiwa offroad usiyoielewa basi muda wote akili ifanye hesabu kukwepa mashimo, miinuko mabonde.Ninachopendea SUV kuna zile bumps za ghafla ambazo huzijui unazifukia at minimal damage.
Pale Sinza Mugabe kuna tuta nilikuwa sifahamu lipo, nikapita saa 8 usiku nipo speed 100. Nakuja shtuka gari imepaa ikatua mbele ya tuta.
Ningekuwa na sedan nina uhakika ningeishia kuua vitu vingi sana.
Sipendi sedan ila naheshimu wanaozipenda. Hata ikitokea nimeinunua itakuwa inakaa ndani muda mwingi kuliko kuendesha.