Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Kuwa makini na kijicho huko Kwimba, Sengerema, Bariadi, na mitaa kama hiyo huko, haukawii kubadilishiwa fisi na gari yako kupakiwa kichakani.
 
aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Dhihaka, Kiburi na Majivuno ni uelevu na ujanja kwa mjinga,
Wazazi wako hawakukupeleka shule ili uje utukane wazazi wa wenzako,
Jifunze kuwa na staha na uepuke majivuno, wapo watu wenye magari ya maana lakini huwezi kuta amekosa hekima kama wewe. Jifunze utu, jifunze hekima, jifunze kuheshimu wengine na kuwatahmni pia.
 
Kumbe Ni huko usweken. Njoo Dar uone magari ya walimu.
Wengine Wana miaka hawajachukua pesa benki wanaishi kwa pesa ya tuition.
Si wakejeli walimu ila ukweli ni kwamba Dar walimu wanaomilili magari ni wanawake,

Bila shaka hapo unajua anaewezesha hilo gari ni mumewe.
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Katika sector ya ualimu ni ngumu kupiga pesa kinyemela ukilinganisha na sector zingine kwahyo usiwashangae walimu Bali tambua kuwa watumishi sector zingine wanamianya ya kuchepusha pesa kirahisi ndio maana unaona wanatembelea ma v8
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Katika sector ya ualimu ni ngumu kupiga pesa kinyemela ukilinganisha na sector zingine kwahyo usiwashangae walimu Bali tambua kuwa watumishi sector zingine wanamianya ya kuchepusha pesa kirahisi ndio maana unaona wanatembelea ma v8
 
Katika sector ya ualimu ni ngumu kupiga pesa kinyemela ukilinganisha na sector zingine kwahyo usiwashangae walimu Bali tambua kuwa watumishi sector zingine wanamianya ya kuchepusha pesa kirahisi ndio maana unaona wanatembelea ma v8
Ata nature ya kazi yenyewe tu
Kazi ya kula vumbi la chaki, kukimbizana na wanafunzi mara kuchapa viboko
 
Sio kila akutazamaye akutamani ukishajua Hilo huwezi kujiproud kwa Jambo Kama hilo
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Unamaanisha hao walimu hadi wanafika vyuoni hawajawahi kuyaona hayo magari??
 
Mwaandishi wa huu Uzi namfahamu vizuri tu. Yeye ni mwalimu wa shule ya msingi lakini hapendi watu wajue kuwa ni mwalimu. Kiufupi Hana gari Ila mwaka Jana ndo kanunua pilipiki. Ameshafurukuta ahame kada ya ualimu imeshindikana. Hadi Sasa ana mgogoro na mwajiri wake kwa sababu ya kutotimiza majukumu yake ya ualimu na kushinda ofisi za halmashauri akifuatilia suala Hilo la kubadili fani. Hakuna sehemu yoyote anayoweza kujitambulisha kuwa yeye ni mwalimu unless akutane na watu wanaomfahamu.
 
Nilikuwa nataka kununua subaru kumbe wamiliki hawana akili hivi aiseee let's go to vanguard aisee hata kama bei zake yard kwetu Mwanza ni 45M.
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Na wewe ni mbwiga tu, Forester unavimba makwapa! Ukiwa, na cruiser mkonga, double cabin, au Infiniti QX80, au Escalade, GMC? Si utatukana mpaka baba mkwe!
 
Back
Top Bottom