Juzi nilimkosoa aliyekuwa anadharau PhD wakati nadhani hata first degree hana. Leo huyu nadhani ni wale waliofail STD Seven. Mtu aliyeingia madarasa hawezi kutukana ualimu maana tulicho nacho kimetokana na juhudi zao. Kwa bahati mbaya mfumo umewasahau.
Aidha unaelezwa kuwa uhalisia wa maendeleo katika nchi yoyote ni pale ambapo watoto wanazidi elimu na mali wazazi wao. Wakati ule ilikuwa ni Liberia katika Afrika pahala ambapo Wazazi walikuwa na elimu zaidi ya watoto wao (wakati wa vita). Kama wewe
Edsger wybe Dijkstra aliyekufundisha darasa la kwanza akiwa na uwezo wa uchumi zaidi yako, basi hakuna maendeleo.