stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Unafuatiriwa na jeshi ra porisi kwa kudharau kazi ya uarimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bure unatafuta kurogwa......Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
ttzo la watu weusi hampend ukwel ndio maaana nchi hiendeleiMkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
mkuu bakia kwenye mada nyie nyie wakwamisha maendeleo ya nchiSasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
koment zenu zinaonesha kuwa nyiny ni watu weusi ,wote mnajibu kinafiki sana na kwa wivu , ebu mpingeni mleta mada kuwa Ualimu unalipa na hao waliokuja hivyo wamependa tu ila rolls Royce yao yapo majumban kwaoUmekunywa chai kweli?
OPWalikutoa matongo tongo sasa umeona mwanga badala ya kuwakumbuka wawakejeli
OPHuu uzi ufutwe, dhihaka zisizo na maana
OPWewe jamaa badilika gari siyo ya kumtushia mtu Kwa sasa hasa hizo Subaru za M18.
lin wataanza kuthaminiwa kama hamtaki mapungufu yao hamtak watu wayaseme , ni aibu kazi ya ualimu ni kwa wale walioferi na ndio maana wanalipwa kiduchuwaheshimu walimu bana hata kama masilahi Yao ni duni.
we mwenyewe mshamba tu.
OPMbona wewe ndo mshamba Sasa forester ndo gari ya kukufanya uwadharau wengine Na kuwaona washamba??.....Mpumbavu Sana wewe
je ni sawia kwa walimu wa mkoani kuwa na hali ngumu kimaisha?Kumbe Ni huko usweken. Njoo Dar uone magari ya walimu.
Wengine Wana miaka hawajachukua pesa benki wanaishi kwa pesa ya tuition.
kama unajuwa hilo acha kuficha matatizo yao maana hutak yatatuliweJuzi nilimkosoa aliyekuwa anadharau PhD wakati nadhani hata first degree hana. Leo huyu nadhani ni wale waliofail STD Seven. Mtu aliyeingia madarasa hawezi kutukana ualimu maana tulicho nacho kimetokana na juhudi zao. Kwa bahati mbaya mfumo umewasahau.
Aidha unaelezwa kuwa uhalisia wa maendeleo katika nchi yoyote ni pale ambapo watoto wanazidi elimu na mali wazazi wao. Wakati ule ilikuwa ni Liberia katika Afrika pahala ambapo Wazazi walikuwa na elimu zaidi ya watoto wao (wakati wa vita). Kama wewe Edsger wybe Dijkstra aliyekufundisha darasa la kwanza akiwa na uwezo wa uchumi zaidi yako, basi hakuna maendeleo.
OPBila Shaka
Hata 30 haifiki
kuwaheshimu ni kuficha matatizo yao ili yasitatuliwe?Hayo maneno "PICHA LINAANZA....."
Ni maneno ya hovyo yanatumiwa na vijana wa hovyo
Waheshimu walimu tafadhali
Mpwayungu Village rebornAnother "pwayunguz" in the fancy coat!😂😂😂😂
OPMbona nawe ulifundishwa ushamba wa Kuandika na mwalimu
hahahahaaaaaMtoa mada ulikuwa hujashtukia tuu.
Hao walimu wakuu walikuwa wanakushangaa ww kwa mashauzi na mbwembwe zoote kwa kasubaru tuu akati wao huko home kwenye nyumba zao wamepaki midude ya maana ni vile tuu walitakiwa kupanda gari la pamoja ndo maana wakaletwa na hilo likosta unalosema ni bovu.
Choo ni Choo tuu dogo dhumuni ni kupokea Mavi.
OPKuna muda wewe ndiye unaweza kuwa mshamba zaidi. Amini nakwambia.