Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Si bure unatafuta kurogwa......
 
Walimu wanaupumbavu mwingi sana. Wanakera sana wanavyojitoa akili kwa kushobokea serikali dhalimu
 
Sasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
mkuu bakia kwenye mada nyie nyie wakwamisha maendeleo ya nchi

Mada nu Ualimu ni umaskin , Mpinge mleta mada kama mada isemavyo
 
Umekunywa chai kweli?
koment zenu zinaonesha kuwa nyiny ni watu weusi ,wote mnajibu kinafiki sana na kwa wivu , ebu mpingeni mleta mada kuwa Ualimu unalipa na hao waliokuja hivyo wamependa tu ila rolls Royce yao yapo majumban kwao
 
waheshimu walimu bana hata kama masilahi Yao ni duni.

we mwenyewe mshamba tu.
lin wataanza kuthaminiwa kama hamtaki mapungufu yao hamtak watu wayaseme , ni aibu kazi ya ualimu ni kwa wale walioferi na ndio maana wanalipwa kiduchu
 
Kumbe Ni huko usweken. Njoo Dar uone magari ya walimu.
Wengine Wana miaka hawajachukua pesa benki wanaishi kwa pesa ya tuition.
je ni sawia kwa walimu wa mkoani kuwa na hali ngumu kimaisha?
 
Juzi nilimkosoa aliyekuwa anadharau PhD wakati nadhani hata first degree hana. Leo huyu nadhani ni wale waliofail STD Seven. Mtu aliyeingia madarasa hawezi kutukana ualimu maana tulicho nacho kimetokana na juhudi zao. Kwa bahati mbaya mfumo umewasahau.

Aidha unaelezwa kuwa uhalisia wa maendeleo katika nchi yoyote ni pale ambapo watoto wanazidi elimu na mali wazazi wao. Wakati ule ilikuwa ni Liberia katika Afrika pahala ambapo Wazazi walikuwa na elimu zaidi ya watoto wao (wakati wa vita). Kama wewe Edsger wybe Dijkstra aliyekufundisha darasa la kwanza akiwa na uwezo wa uchumi zaidi yako, basi hakuna maendeleo.
kama unajuwa hilo acha kuficha matatizo yao maana hutak yatatuliwe
 
Mtoa mada ulikuwa hujashtukia tuu.
Hao walimu wakuu walikuwa wanakushangaa ww kwa mashauzi na mbwembwe zoote kwa kasubaru tuu akati wao huko home kwenye nyumba zao wamepaki midude ya maana ni vile tuu walitakiwa kupanda gari la pamoja ndo maana wakaletwa na hilo likosta unalosema ni bovu.
Choo ni Choo tuu dogo dhumuni ni kupokea Mavi.
hahahahaaaaa
 
Back
Top Bottom