Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Si bure unatafuta kurogwa......
 
Walimu wanaupumbavu mwingi sana. Wanakera sana wanavyojitoa akili kwa kushobokea serikali dhalimu
 
Sasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
mkuu bakia kwenye mada nyie nyie wakwamisha maendeleo ya nchi

Mada nu Ualimu ni umaskin , Mpinge mleta mada kama mada isemavyo
 
Umekunywa chai kweli?
koment zenu zinaonesha kuwa nyiny ni watu weusi ,wote mnajibu kinafiki sana na kwa wivu , ebu mpingeni mleta mada kuwa Ualimu unalipa na hao waliokuja hivyo wamependa tu ila rolls Royce yao yapo majumban kwao
 
waheshimu walimu bana hata kama masilahi Yao ni duni.

we mwenyewe mshamba tu.
lin wataanza kuthaminiwa kama hamtaki mapungufu yao hamtak watu wayaseme , ni aibu kazi ya ualimu ni kwa wale walioferi na ndio maana wanalipwa kiduchu
 
Kumbe Ni huko usweken. Njoo Dar uone magari ya walimu.
Wengine Wana miaka hawajachukua pesa benki wanaishi kwa pesa ya tuition.
je ni sawia kwa walimu wa mkoani kuwa na hali ngumu kimaisha?
 
kama unajuwa hilo acha kuficha matatizo yao maana hutak yatatuliwe
 
hahahahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…