Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Dah..Mimi sio mwalimu ila hizi ni dharau kwa walimu wako ujue..ila poa
 
Una uhakika gani kwamba na yangu ni used?
Sina uhakika mkuu, nimequote jamaa alosema XT hata 40m haijafika, kama used ni kweli haifiki/inafika hapo, ila kama brand new ni $40,000 au zaidi.

Ya kwako ni ya mwaka gani mkuu?
 
Mbele ya wanaume unakuja kuitaja Subaru kweli wewe ni mzima kichwani?
 
Njoo uone walimu wa vijijini ULIE

#YNWA
Issue za walimu zipo kwenye dawati la Mpwayungu Village hakuna atakayekuja na jipya.

Tatizo langu ni huyu mwenye baby walker nayo anaona NI gari ya kuja kuongelea mbele ya wanaume?

Sasa angenunuwa Dungu Kwa Chris Lukosi si angemtukana mpaka Maxence Melo?
 
Alafu sijui kwanii wengi wanakua na visogo virefuu
 
Kwanza kabla ya ku comment napenda nimshukuru Mama Samia!
Pili naomba kuuliza wewe na Mpwayungu Village ni ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…