Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
- Thread starter
-
- #61
Acha hasira madam rose .tulia!Issue za walimu zipo kwenye dawati la Mpwayungu Village hakuna atakayekuja na jipya.
Tatizo langu ni huyu mwenye baby walker nayo anaona NI gari ya kuja kuongelea mbele ya wanaume?
Sasa angenunuwa Dungu Kwa Chris Lukosi si angemtukana mpaka Maxence Melo?
Kwa mshahara upi akopeshwe mil 60?Mwalimu Ni mtumishi wa serikali anayeruhusiwa kukopa Hadi 60 m kule crdb au nmb. Ukiona Hana gari ujue hajapenda tu.
Unaupiga mlangoni wa jela Kwa matako, wewe jaa tu nikufundishe adabu.
Umeongea makasiriko.Issue za walimu zipo kwenye dawati la Mpwayungu Village hakuna atakayekuja na jipya.
Tatizo langu ni huyu mwenye baby walker nayo anaona NI gari ya kuja kuongelea mbele ya wanaume?
Sasa angenunuwa Dungu Kwa Chris Lukosi si angemtukana mpaka Maxence Melo?
Hahahahahaha kuna kipindi nilikua nafanya kazi za kujitolea FHI mradi wa Youth Net..na Ypeer ,Country manager wa FHI alikua anakuja Ofcn na Baiskeli..na jamaa alikuwa ana vuta kama USD 7000+ .Mtu ambaye anahesabu gari ni maendeleo ni wa kumuonea huruma tu.
Watu Wana maisha Bora na wanapanda train kwenda makazini.
Picha limeanzaMadam mjep kama umekasirika kunywa sumu ufe
IQ yako ndogo sanaPole madam kama nimekukera.
Acha hasira madam janetushamba ni mwingi sana Kwahyo subaru nayo unaiona ni gari ya kuja hapa kuwasema waalimu japo kweli wanamaisha fulani ya kusahaulika ila hebu jitafakari unawazidi nini na subaru yako
Afu we mwalimu wa nidhamu acha maneno yako kakimbizane na watt ukohunaishuu
We jamaa limbukeni sanaMagari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Nikama hiviJuzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Used bilashaka wenye pesa hawanaga makeleleUna uhakika gani kwamba na yangu ni used?