Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Mpwayungu Village naona umekuja vingine
 
Mbona ni maskini wa kutupwa madam hujui unachokiongea
Wakope kwa security ipi? Mshahara? Madam madam chunga maneno yako
My sister kukaa kwako huko Kwimba Ni ushahidi tosha kwamba wewe Ni mshamba. Tafuta bwana wa mjini upunguze ushamba, hao wauza ng'ombe kwenye minada hawakutendei haki. Tafuta hata bwana wa kihaya.
 
My sister kukaa kwako huko Kwimba Ni ushahidi tosha kwamba wewe Ni mshamba. Tafuta bwana wa mjini upunguze ushamba, hao wauza ng'ombe kwenye minada hawakutendei haki. Tafuta hata bwana wa kihaya.
Mmeo yupo?? Asubui nilikuona unapita nae kwenda sokoni
 
ndoto nzuri, wacha tusubiri kwa hamu na gamu
 
Umeandika vizuri sana.
 
walikuwepo wenye dharau kushinda ww..wameacha kila kitu na tumewafukia chini.ni vile tu uoni umebakiza siku ngapi za kuishi ndio maana kiburi cha uzima kinakusumbua
 
Sawa,serikali wainueni walimu ili wasipate fedheha kama hizi
Mkuu kuna kitu kingine nime notice , kwanza , sijawai ona wanawake warembo wanakua walimu . Yani dada mrembo ni heri qfanye kazi nyingine yenye kipato cha chini kuliko kuwa mwalimu.
Jambo lingine nime notice walimu wengi wa kiume wana visogo virefu. Hii imekaaje wadau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…