Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Nimefanikisha kutimiza ndoto za binti wangu wa kazi

Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
God bless you.
 
Kwa heshima na tadhima. Mungu akuzidishie ulipojitoa kaka.
Na mimi natamano kufanya hivyo siku mambo yakikaa vizuri
 
Hongera sana Mkuu kwa moyo huu wa kumsaidia binadamu mwenzio na kumnyanyua kimaisha. Mwenyezi Mungu akuzidishie wewe na familia yako.

Nilidhani ni story nyingine jana stories za kila mara za ME kumla beki tatu au kufikiria kumla baada ya kula vizuri na soap soap 🧼 njemba inamtamani kwa kuwa amependeza.

Big up Mkuu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
 
Hongera ubarikiwe wewe ni mtu mwenye utu, wadada wengi wakazi hutumikishwa na kuteswa na kutumia kingono,na kuteswa, Bora wewe ulichagua fungu jema Mungu atakulindia wanao aisee na atawafanyia upesi kwa mengi.
Amina.
 
Hongera sana Mkuu kwa moyo huu wa kumsaidia binadamu mwenzio na kumnyanyua kimaisha. Mwenyezi Mungu akuzidishie wewe na familia yako.

Nilidhani ni story nyingine jana stories za kila mara za ME kumla beki tatu au kufikiria kumla baada ya kula vizuri na soap soap 🧼 njemba inamtamani kwa kuwa amependeza.

Big up Mkuu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ahsante sana mkuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mkuu watu wenye roho kama ya kwako ni wachache wengne wangeshamla kabsa alaf wanampitisha hvi
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
 
Mahouse girls wengi ni wanawake wazuri sana hasa upande wa kuwaoa...wanajituma,wanatabia nzur ndani adi nje,wanajua kumuhudumia mme Kama mtoto vile japo wengi wanakuwa sio attractive (romantic) kutokana na matunzo yao but wakipata matunzo mazur wanavutia kwakweli adi mama mwenye nyumba anakuwa na wivu.

Ila hawa wadada wanapitia changamoto nyingi sana,kuna mdada nafahamiana nae kafanya hizo kazi takribani nyumba tatu na nyumba zote hzo kanusurka kubakwa na baba wenye nyumba....yani adi sasa yupo hopeless kabsa...nimempa nafasi ya kuwa mke wangu apo mbelen coz kakizi baadh vigezo vyangu,nimemwambia ajifikirie akiridhika tufate taratibu tufunge ndoa.
Hayo mdo mambo mkuu usiachie tunda hlo ukioa beki3 aisee uta enjoy maana umepata wife mchapakaz hana majivuno yan ata akijua una mchepuko yeye atakwambia tu naomba usisahau kuwahudumia watoto [emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji109]

Big up kwenu beki namba 3 Jordi Alba
 
Hongera sana kaka pamoja na mkeo, mwenyezi Mungu atazidi kuwalipa kwa tendo jema mliomfanyia huyo dada wa kazi.
 
Habari zenu nyote,

Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.

Maisha ya nyumbani kwao yalikuwa ni duni sana, na wazazi wake walionekana kushukuru sana binti yao kupata hii kazi ambayo mshahara kwa huo mwaka tulikubaliana elfu 30.

Baada ya kukaa nae kwangu, ndugu niliokuwa nakaa nao akiwemo mke niligundua hali ambayo sio nzuri ya kumtumikisha kazi nyingi zinazomzidi umri wake na zingine zingewezwa kufanywa na wao.

Nilizungumza nao na nashukuru walinielewa na wakawa wanamchukulia Kama mdogo wao na hata utambulisho wake kwa wageni haukuwa tena mfanyakazi wa ndani bali mdogo wetu.

Nilimshurikisha mke wangu juu ya kumuendeleza huyu binti na tulipomuuliza nini anapenda kujifunza, alitujibu anahitaji kuwa mshonaji wa nguo.

Tulimtafutia chuo akasoma mwaka mmoja hapo baadae tukamhamishia VETA kwa ajili ya ujuzi zaidi wa mafunzo hayo kwa mwaka mwongine, Alipomaliza aliomba kuendelea na fani nyingine ya urembo na upambaji hapohapo VETA tukamlipia na alimaliza vema.

Baada ya kumaliza tulimnunulia vyerehani viwili kwa kutumia pesa yake ya mshahara tuliyokuwa tunamtunzia na kuongezea ilipopungua na kumlipia frem kwa miezi 6 pamoja na kumuwekea vitenge na vitambaa kidogo kwenye frem akaanza kushona huku akiwa anakaa kwangu kwa miezi miwili.

Baada ya kumchunguza na kuona akili yake imekomaa, tukampangishia chumba cha 30k kwa miezi 4 akahamia na vyombo kidogo.

Nafurahi kuona hadi sasa anaendelea vizuri hakosi 40elfu kwa siku, sasa amepata mchumba anataka kuolewa.

Hili ni Jambo la kujivunia kwangu kuona maisha yake yamebadilika.
Hongera sana
 
Back
Top Bottom