Uchaguzi 2020 Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu

Madogo ni kama haya tuliyonayo.
60 years watu hawana maji ya kunywa si mijini si vijijini.
Hospital hakuna vifaa tiba wala dawa wala staff kuhudumia wagonjwa.

Mnataka miaka mingapi kurekebisha sheria ya watu kuwekwa jela kabla upelelezi hujakamilika?jela zinajaa bure kabisa
Mnataka muda gani kutoa uhuru wa mawazo kwa wananchi?
CCM mnatutania sisi wananchi.
Hebu jionee na hili ni Taifa tajiri Duniani.
2 million Americans don’t have access to running water and basic plumbing
 
Unajua hiyo ni asilimia ngapi ya total population ya watu wote US?
Hapa Dar nenda kigamboni tu hapo uone kama wana maji safi ya kunywa.
Kwanza kuadmit kwamba wanalo hilo tatizo kabla ya kujua proportions kwangu ni muhimu
 
Haya washawishi na Hawa waliosusa.
Screenshot_20200914-214456.jpg
 
Mkuu Mimi pia nimefanikiwa hilo, Mimi na mwenza wangu tayari tulishaweka agano mapemaaaaa kuwa rais ni Lisu, Mzee wangu hana shida yeye haipendi mbogamboga toka moyoni. Bi mkubwa yeye alikuwa mboga mboga ila kwa hali aliyopitia hii miaka mitano hataki hata kuwasikia. Bro wangu na sister wao wanamkubali Lisu sana. Kwaiyo paka hapo Nina uhakika wa kura 5 za Lisu kutoka familia yatu.
Mkuu safi sana pamoja tutaweza tukiwa wengi ndivyo mambo yanavokuwa rahisi.
 
Ukipigia kura Magufuli-CCM, maana yake unaunga mkono utekaji, unyanyasaji, dhuluma, utesaji, umwagaji damu na mauaji ,,,
kwa ujumla unakuwa umeunga mkono utawala usiofuata sheria
 
Kwanza kuadmit kwamba wanalo hilo tatizo kabla ya kujua proportions kwangu ni muhimu
Yani huangalii ukubwa wa tatizo unaangalia kama wana tatizo?
Mkuu akili zako zinakutosha kweli?
 
Ukipigia kura Magufuli-CCM, maana yake unaunga mkono utekaji, unyanyasaji, dhuluma, utesaji, umwagaji damu na mauaji ,,,
kwa ujumla unakuwa umeunga mkono utawala usiofuata sheria
Waambie na wengine tuunganishe nguvu mkuu.
 
Yani huangalii ukubwa wa tatizo unaangalia kama wana tatizo?
Mkuu akili zako zinakutosha kweli?
Nina akili nyingi sana huwezi kutatua tatizo kama hauadmit kama unalo.

Kitendo cha kuona kama USA mwenye budget kubwa still anaface challenges kama zangu inanipa nguvu ya kupambana Tanzania nayo itafanikiwa tuu ni suala la muda.
 
Waambie na wengine tuunganishe nguvu mkuu.
Tuko pamoja sana mkuu,, kwa upande wangu nmetekeleza yangu na ninaendelea kuhakikisha watanzania wanapinga utawala usiofata sheria na madhara yake
 
Mkuu Mimi pia nimefanikiwa hilo, Mimi na mwenza wangu tayari tulishaweka agano mapemaaaaa kuwa rais ni Lisu, Mzee wangu hana shida yeye haipendi mbogamboga toka moyoni. Bi mkubwa yeye alikuwa mboga mboga ila kwa hali aliyopitia hii miaka mitano hataki hata kuwasikia. Bro wangu na sister wao wanamkubali Lisu sana. Kwaiyo paka hapo Nina uhakika wa kura 5 za Lisu kutoka familia yatu.
Mke wangu huwa tunaenda sambamba sana kimtazamo. Wote hatuna vyama na hatuna mpango huo, hivyo huwa tuna uhuru wa kufuatilia mambo na kuamua bila ushabiki.

Kasoro za ccm zinatokana na kwamba wameongoza nchi kwa muda mrefu sana na hivyo kutojari sana nini wanannchi tunataka. ccm hawaamini kama wanaweza kaa nje ya game.

Kasoro za cdm ni uchanga wake(safari hii walijitahidi isingekuwa kukatwa) na harufu ya ukaskazini. Kwenye ukaskazini Lissu amepalegeza kidogo, angalau sasa cdm inaonekana kubalance kuliko kipindi kile cha lowassa.
 
Kuna vikwazo vingi lissu hapati media coverage kama Magufuli. Vijijini watu wengi wanamsikia zaidi Magufuli sifa nyingi zimeenezwa.
Matumizi ya internet ni mijini zaidi.

But kuna fursa pia, mojawapo ni maumivu ya watu hasa ajira, biashara na masoko na bei za mazao. Mijini pia kuna watu wengi wanasikiliza Youtube na mitandao mingine. Hawa pia wana mdugu vijijini.

Mikutano inaendelea kuongeza ushawishi. Bado mambo si rahisi kwa upinzani. Lakini kimbunga ni kikali hakijafika mwisho bado. Tuko fityfifty. Mapambano yanaendelea

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vikwazo vingi lissu hapati media coverage kama Magufuli. Vijijini watu wengi wanamsikia zaidi Magufuli sifa nyingi zimeenezwa.

Matumizi ya internet ni mijini zaidi. But kuna fursa pia, mojawapo ni maumivu ya watu hasa ajira, biashara na masoko na bei za mazao. Mijini pia kuna watu wengi wanasikiliza Youtube na mitandao mingine. Hawa pia wana mdugu vijijini...
Umeongea vema sana mkuu.

Ndiomana nikasema tuunganishe nguvu sisi tulio na access ya mitandao kuwapata wale wasio na access wanaotuzunguka kwa kufanya hivyo tutapenya zaidi.
 
KURA ni siri. Siri zakaa moyoni. Hakuna ajuaye mambo ya siri, isipokuwa mtu na moyo wake. Wamekulaghai kukufurahisha.
Mkuu hawa ni watu wangu wa karibu na hatujakutana barabarani.
 
Kuna vikwazo vingi lissu hapati media coverage kama Magufuli. Vijijini watu wengi wanamsikia zaidi Magufuli sifa nyingi zimeenezwa...
Yes media coverage set to be an obstacle to opposition parties! But God is with them!
 
Lissu oyeeeeee. Mademu zangu nane wapo ccm damudamu. Kwa sababu nawagegeda mpaka wanafikia kilele nao wamekubali kuniunga mkono . Shada zao za kupigia kura ninazo ndani. Nimewaweka mkononi na hakuna wa kufurukuta. Mmoja anakuja leo usiku kucha . Ananipa mipango yote kitandan
 
Back
Top Bottom