Hebu jionee na hili ni Taifa tajiri Duniani.Madogo ni kama haya tuliyonayo.
60 years watu hawana maji ya kunywa si mijini si vijijini.
Hospital hakuna vifaa tiba wala dawa wala staff kuhudumia wagonjwa.
Mnataka miaka mingapi kurekebisha sheria ya watu kuwekwa jela kabla upelelezi hujakamilika?jela zinajaa bure kabisa
Mnataka muda gani kutoa uhuru wa mawazo kwa wananchi?
CCM mnatutania sisi wananchi.
Unajua hiyo ni asilimia ngapi ya total population ya watu wote US?Hebu jionee na hili ni Taifa tajiri Duniani.
2 million Americans don’t have access to running water and basic plumbing
Kwanza kuadmit kwamba wanalo hilo tatizo kabla ya kujua proportions kwangu ni muhimuUnajua hiyo ni asilimia ngapi ya total population ya watu wote US?
Hapa Dar nenda kigamboni tu hapo uone kama wana maji safi ya kunywa.
SadKawashawishi na mabeberu wenu wa ubeligiji
Mkuu safi sana pamoja tutaweza tukiwa wengi ndivyo mambo yanavokuwa rahisi.Mkuu Mimi pia nimefanikiwa hilo, Mimi na mwenza wangu tayari tulishaweka agano mapemaaaaa kuwa rais ni Lisu, Mzee wangu hana shida yeye haipendi mbogamboga toka moyoni. Bi mkubwa yeye alikuwa mboga mboga ila kwa hali aliyopitia hii miaka mitano hataki hata kuwasikia. Bro wangu na sister wao wanamkubali Lisu sana. Kwaiyo paka hapo Nina uhakika wa kura 5 za Lisu kutoka familia yatu.
Nina akili nyingi sana huwezi kutatua tatizo kama hauadmit kama unalo.Yani huangalii ukubwa wa tatizo unaangalia kama wana tatizo?
Mkuu akili zako zinakutosha kweli?
Tuko pamoja sana mkuu,, kwa upande wangu nmetekeleza yangu na ninaendelea kuhakikisha watanzania wanapinga utawala usiofata sheria na madhara yakeWaambie na wengine tuunganishe nguvu mkuu.
Mke wangu huwa tunaenda sambamba sana kimtazamo. Wote hatuna vyama na hatuna mpango huo, hivyo huwa tuna uhuru wa kufuatilia mambo na kuamua bila ushabiki.Mkuu Mimi pia nimefanikiwa hilo, Mimi na mwenza wangu tayari tulishaweka agano mapemaaaaa kuwa rais ni Lisu, Mzee wangu hana shida yeye haipendi mbogamboga toka moyoni. Bi mkubwa yeye alikuwa mboga mboga ila kwa hali aliyopitia hii miaka mitano hataki hata kuwasikia. Bro wangu na sister wao wanamkubali Lisu sana. Kwaiyo paka hapo Nina uhakika wa kura 5 za Lisu kutoka familia yatu.
Umeongea vema sana mkuu.Kuna vikwazo vingi lissu hapati media coverage kama Magufuli. Vijijini watu wengi wanamsikia zaidi Magufuli sifa nyingi zimeenezwa.
Matumizi ya internet ni mijini zaidi. But kuna fursa pia, mojawapo ni maumivu ya watu hasa ajira, biashara na masoko na bei za mazao. Mijini pia kuna watu wengi wanasikiliza Youtube na mitandao mingine. Hawa pia wana mdugu vijijini...
Yes media coverage set to be an obstacle to opposition parties! But God is with them!Kuna vikwazo vingi lissu hapati media coverage kama Magufuli. Vijijini watu wengi wanamsikia zaidi Magufuli sifa nyingi zimeenezwa...