Uchaguzi 2020 Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu

Mimi nilishadanya hii kirambo Sana mabadiliko yanatuhusu wote
 
binafsi sijawai kupiga kura ila Lissu amenishawishi muda mfupi sana, ni aina ya kiongozi wa upinzani ambaye muda mrefu Tanzania ilikuwa inamhitaji dhidi ya hawa mabeberu waliotawala nchi toka 64, wale kina slaa, lowasa maalim seif hawamuoni huyu jamaa ni Lissu ni strong leader, sasa naamini upinzani unaweza shika dola
 
Miaka 60 bado watu wanakunywa matope badala ya maji je hayo ni Maendeleo? Hebu kuweni serious na hii nchi.
Usistaajabu hata USA wenye miaka 200 na zaidi bado wanashida ya maji...maendeleo huwa yanakuja kwa mipango na suala la maji limeshughulikiwa vizuri kuanzia awamu ya nne na sasa awamu ya 5 wanafanya vizuri zaidi.

Mpigie kura Dr. Magufuli atatua changamoto zetu za kimaendeleo.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…