Ona nae huyu, kwanVi vocha siku hizi Zime panda bei ama?๐๐ค.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k rake[/USER], Zulu .
[/QUOTE]
Vocha ya elfu 15 kama inakutosha wewe sio mimi.Tunatofautiana matumizi.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Ongea na watu vizuri, Kuna samaki was jero na hujui๐๐
Nitatembea juu ya maji?Uki tembea kutoka kwako Hadi misri, unaeza iokota ?
We mbona mwenyekiti wa chama Cha mkono bao, na hatusemi๐๐Tafuta hela bro acheni kujificha kwenye vichaka visivyowapa furaha.
Sio mtu wa ibada
Hunywi pombe
Huvuti bangi wala sigara
Kitimoto huli(msabato au muislam)
Haya na hao madem ndo ivo tena unawakazia hata 15k, unajifanya upo no fap challenge, sijui kataa ndoa..
Mazee mtakufa mmesimama shauri zenu.
Furahia you only live once, kalaghabaho
Lipia tangazo, we si ulisema ni team kATAA ndoa!?.
hiyo kutafuta mke, vipi?!
View attachment 2918161
Serious mi Napata dk 500 kwa wiki, na siku hizi sizi pendi maana hazi ishi.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐
Hapana usiseme hivyo,kila mtu ana matumizi yake binafsi na pia yametofautiana ,biashara n.kBro hapa msi tufanye wengine, tuonekane tuli kuja kuzurura duniani.
Yaani 15k vocha ya daily??, Mh๐
Mtandao gani?Serious mi Napata dk 500 kwa wiki, na siku hizi sizi pendi maana hazi ishi.
,๐Na Wana nipa option ya kuunganisha vifurushi.
HalotelMtandao gani?
Sasa hao hata bao la mkono hawataki eti wapo no fap challenge.We mbona mwenyekiti wa chama Cha mkono bao, na hatusemi๐๐
Ah ndio maana. Mitandao ya students ๐Halotel
Ku recharge ndo nini??, Au ndo una nitukana arifu๐ค๐Hapana usiseme hivyo,kila mtu ana matumizi yake binafsi na pia yametofautiana ,biashara n.k
Mfano,Ukirecharge 15,000 Tsh unaweza kutumia muda gani? Na matumizi aina gani?
Mh student !, Hata shule sija wahi kwenda๐.Ah ndio maana. Mitandao ya students ๐
Ila no fap challenge Ina saidia Sana๐Sasa hao hata bao la mkono hawataki eti wapo no fap challenge.
Aiseeeh!๐ unatafuta mzozano tu.Ku recharge ndo nini??, Au ndo una nitukana arifu๐ค๐
Inasaidia nini man, mi sijaonaga msaada wake, nilikaa miezi 3 nikaona nazikusanya genye tu.Ila no fap challenge Ina saidia Sana๐
Nguvu za kiroho na kimwili, shida we una fanya Huku una iwazia.Inasaidia nini man, mi sijaonaga msaada wake, nilikaa miezi 3 nikaona nazikusanya genye tu.
Hahahahaha...vocha nimekupa sana ya buku 2Ona nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?๐๐ค.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una ongea na mizimu ๐.
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.