Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nunua vocha Sasa, usikae una lalamika ka ume kula Moto😂😀Sawa,natumia meggasim/ivitta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunua vocha Sasa, usikae una lalamika ka ume kula Moto😂😀Sawa,natumia meggasim/ivitta.
Chumvi ya 1000 una Malizaa, au ndo mashauzi😂😀15elf imekushinda mtaji utaweza?😏😏😏
🤣🤣🤣🤣Kakutana na kamanda wa JWUlivyojibu haraka.. et Karibu na Geto.. Ulitegemea kuambiwa.. AYA NAKUJA
Nipatie kadi yako ni recharge.Nunua vocha Sasa, usikae una lalamika ka ume kula Moto😂😀
Card ndo nini, maana hata card za harusi siku hizi sipokei😀😂Nipatie kadi yako ni recharge.
🤣
🤣🤣🤣 sijasomaKirefu cha BF ni?
1. Boyi Friendi? au
2. Bakari Faustine? au
3. Bladi Fakeni?
Utumbo unanicheza ujue😀🤣
Sifahamu pia ,nimekuomba kadi na wewe inaniandikia card.Card ndo nini, maana hata card za harusi siku hizi sipokei😀😂
Labda nikupe cart au cat 😀😂Sifahamu pia ,nimekuomba kadi na wewe inaniandikia card.
🤣
SawaaaaLabda nikupe cart au cat 😀😂
Hahahahahahaha..kuna mdada aliomba heka ya lunch nikamrushie 15K akasema haitoshi ...toka siku hy nika mblock na futa na namba yenyeweHahaha, hatuna.. ila mwingine ata kuambia haitoshi
Hahahaha, dah 15 k haitoshi!!, Sema mbona kubwa Sana hiyo.Hahahahahahaha..kuna mdada aliomba heka ya lunch nikamrushie 15K akasema haitoshi ...toka siku hy nika mblock na futa na namba yenyewe
Ni kweli 15k kuna sehemu ukienda kula haitoshi. Kuna sehemu nyingine unakula na chenchi inabaki. So ulivyomblock ulimkoseaHahahahahahaha..kuna mdada aliomba heka ya lunch nikamrushie 15K akasema haitoshi ...toka siku hy nika mblock na futa na namba yenyewe
Ndio maana nikafuta na kublock ..hapo nayakutolea ..so anapata 13k ...msosi na vocha anapata ..akajifanya matawi wkt najua choka mbayaHahahaha, dah 15 k haitoshi!!, Sema mbona kubwa Sana hiyo.
Watu Wana pewa 5k na Wana ishi vizuri tu.
Hahahahahaha kwa yeye yule 15K inamtosha na vocha anapata ..kiwango chake ni hiyo hana hadhi ya kuzidi 15K lunchNi kweli 15k kuna sehemu ukienda kula haitoshi. Kuna sehemu nyingine unakula na chenchi inabaki. So ulivyomblock ulimkosea
Sasa kama unampelekaga kula samakisamaki unadhani hiyo ingemtosha?hapo angetoa ange aki na 13 tu😁😁Hahahahahahaha..kuna mdada aliomba heka ya lunch nikamrushie 15K akasema haitoshi ...toka siku hy nika mblock na futa na namba yenyewe
Sister Kuna kitu Ina itwa freedom of choice,, Kama haitoshi si una Tafuta sehemu nafuu.Ni kweli 15k kuna sehemu ukienda kula haitoshi. Kuna sehemu nyingine unakula na chenchi inabaki. So ulivyomblock ulimkosea
Hahahahaha...kwa hadhi yake hiyo ilikua inamtosha sana na vocha anapata ...hana hadhi ya huko usemakoSasa kama unampelekaga kula samakisamaki unadhani hiyo ingemtosha?hapo angetoa ange aki na 13 tu😁😁
😂😂😂😂 alitaka kubadilisha mazingiraHahahahahaha kwa yeye yule 15K inamtosha na vocha anapata ..kiwango chake ni hiyo hana hadhi ya kuzidi 15K lunch
Sisi kwetu TMK hiyo tunabakiza Hadi ya mchezo ya siku tatu kimbembe huko kwenu🙆Ndio maana nikafuta na kublock ..hapo nayakutolea ..so anapata 13k ...msosi na vocha anapata ..akajifanya matawi wkt najua choka mbaya