Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Vitumbua 5 na juisi ya embe 500, Ina Baki 11500 😀Sasa kama unampelekaga kula samakisamaki unadhani hiyo ingemtosha?hapo angetoa ange aki na 13 tu😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitumbua 5 na juisi ya embe 500, Ina Baki 11500 😀Sasa kama unampelekaga kula samakisamaki unadhani hiyo ingemtosha?hapo angetoa ange aki na 13 tu😁😁
Halafu unipangiaje msaada..we umesema mchana hujaona narusha 15k unasema haitoshi ...dah sikujibu mie nakublock na kufuta namba yakoSister Kuna kitu Ina itwa freedom of choice,, Kama haitoshi si una Tafuta sehemu nafuu.
👉Why ulazimishe kitu, ambacho we huwezi?!
Hahaha, aka jikuta teller wa bankHahahahaha...kwa hadhi yake hiyo ilikua inamtosha sana na vocha anapata ...hana hadhi ya huko usemako
Hahahahahahaha...sasa hiyo huku kwetu nakula masikio ya kitimoto ugali..na K vant juu... ndo maana nikamblock nikaona huyu wakishuaSisi kwetu TMK hiyo tunabakiza Hadi ya mchezo ya siku tatu kimbembe huko kwenu🙆
Sisi kwetu viazi vya kukaanga vya miamia vitano,ndizi za 250 mbili,na miguu na firigisi za buku .....na juisi ya miwa hero,jumla 2500.....Vitumbua 5 na juisi ya embe 500, Ina Baki 11500 😀
Ustaarabu na kushukuru ni Jambo jepesi, sema itakuwa alikuwa ana kuona mtajiHalafu unipangiaje msaada..we umesema mchana hujaona narusha 15k unasema haitoshi ...dah sikujibu mie nakublock na kufuta namba yako
Ni kweli. Sometimes mtu anataka kubadilisha upepo. Mimi napenda sana kiepe kuna mahali ni uswazi nakila kitamu ila kuna muda hua namiss mfano pepper steak na chips hizo uswazi hakuna.Sister Kuna kitu Ina itwa freedom of choice,, Kama haitoshi si una Tafuta sehemu nafuu.
👉Why ulazimishe kitu, ambacho we huwezi?!
Hata kama teller wa bank ..mdada hapo anapata chips kavu na kuku nusu na pepsi baridiHahaha, aka jikuta teller wa bank
Menu ya kishua kabisa😂😀Sisi kwetu viazi vya kukaanga vya miamia vitano,ndizi za 250 mbili,na miguu na firigisi za buku .....na juisi ya miwa hero,jumla 2500.....
Hahahahahaha alifeliUstaarabu na kushukuru ni Jambo jepesi, sema itakuwa alikuwa ana kuona mtaji
Hahahaha...hapo sawq nyingine unacheza mchezo kwa kijumbe ...Sisi kwetu viazi vya kukaanga vya miamia vitano,ndizi za 250 mbili,na miguu na firigisi za buku .....na juisi ya miwa hero,jumla 2500.....
Kucheua ndo 15k??, Mi nampima mtu kwa uelewa wake.Ni kweli. Sometimes mtu anataka kubadilisha upepo. Mimi napenda sana kiepe kuna mahali ni uswazi nakila kitamu ila kuna muda hua namiss mfano pepper steak na chips hizo uswazi hakuna.
Moro town kuna sehemu chips yai kuna za buku jero na mishkaki 200. Mtu anabugia hapo halafu anataka asogee mahali classic kucheua
Sasa bora ukitaka kucheua jipange sio upige mzinga ili ukacheue unachotakaNi kweli. Sometimes mtu anataka kubadilisha upepo. Mimi napenda sana kiepe kuna mahali ni uswazi nakila kitamu ila kuna muda hua namiss mfano pepper steak na chips hizo uswazi hakuna.
Moro town kuna sehemu chips yai kuna za buku jero na mishkaki 200. Mtu anabugia hapo halafu anataka asogee mahali classic kucheua
Kabisa kabisaKucheua ndo 15k??, Mi nampima mtu kwa uelewa wake.
Kuna mtu ali taka kazi, aka patiwa connection ya u secretary.Hahahahahaha alifeli
mimi sio mleta mada🤣🤣Wew sema hujampenda ,ndoa huiwezi bhana
Una pewa lift, nawe una force kuendesha. HahahaSasa bora ukitaka kucheua jipange sio upige mzinga ili ukacheue unachotaka
Alifeli padogo sanaKuna mtu ali taka kazi, aka patiwa connection ya u secretary.
CV kutuma ali tumia siku 2 na hakutuma, Mara Sina nauli, Mara Sina vocha.
Wajumbe si Waka zungumza, mwisho ika onekana ni tapeli.
kuanzia siku hiyo hawana story nae, hahaha.
Huwa namcheki tu anavyo vimba, mchawi uki mjua hakusumbui.Alifeli padogo sana
Hii ndio JF kila member ana gari kunitoa mimiAtembee. Kariakoo mpka Morogoro kama anaweza kuokota hiyo 15k..