Nimefanikiwa kuukwepa mzinga wa JWTZ muda huu

Nimefanikiwa kuukwepa mzinga wa JWTZ muda huu

Hahahahaha...we usingezingua ..usimseme mwenzio tu...wkt usikute na wewe ungejibu kama yeye...

Tena wewe ungesema kbs hii ni breakfast tu na hapo itabidi niongezee..😄😄
Mi Napenda sana Hela ya baby wangu,ila Nina Moyo wa Asante sana...ningepokea nikakupa Asante kama zote na ubarikiwe nyingiii halafu nakuundia kipengele Cha kusuka nywele kesho yake,kazi iendelee😁😁😁
 
Mi Napenda sana Hela ya baby wangu,ila Nina Moyo wa Asante sana...ningepokea nikakupa Asante kama zote na ubarikiwe nyingiii halafu nakuundia kipengele Cha kusuka nywele kesho yake,kazi iendelee😁😁😁
Hahahahahahaha...walau hiyo kdg ..ila uko vzr hapo nimekuelewa
 
15??Acheni hizo
Ah dada unaombaga kumi na 5 nn

hili nalirudia kila siku
Hapo mfano wangedate for 2 wks akaomba 15 haina noma mtu mmezoeana kidogo

Tuna siku 1 umeomba 15 je week ikiisha itakuaje

Sema hutakaa uelewe mpaka utakapokua mwanaume
Wanaume hzi 15 kwa siku ukikaa vibaya unaweza tema 100k kwa siku
 
Back
Top Bottom