Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Alizingua sanaHahahahahahaha...sasa hiyo huku kwetu nakula masikio ya kitimoto ugali..na K vant juu... ndo maana nikamblock nikaona huyu wakishua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Alizingua sanaHahahahahahaha...sasa hiyo huku kwetu nakula masikio ya kitimoto ugali..na K vant juu... ndo maana nikamblock nikaona huyu wakishua
Kijumbe mwenyewe ndio myself ha haaaa haaaaa.......Kila member akitoka ananiachia elf 5😁😁😁Hahahaha...hapo sawq nyingine unacheza mchezo kwa kijumbe ...
Hahahahahaha...umetishaKijumbe mwenyewe ndio myself ha haaaa haaaaa.......Kila member akitoka ananiachia elf 5😁😁😁
Hahahahaha...we usingezingua ..usimseme mwenzio tu...wkt usikute na wewe ungejibu kama yeye...🤣🤣🤣🤣Alizingua sana
Mi Napenda sana Hela ya baby wangu,ila Nina Moyo wa Asante sana...ningepokea nikakupa Asante kama zote na ubarikiwe nyingiii halafu nakuundia kipengele Cha kusuka nywele kesho yake,kazi iendelee😁😁😁Hahahahaha...we usingezingua ..usimseme mwenzio tu...wkt usikute na wewe ungejibu kama yeye...
Tena wewe ungesema kbs hii ni breakfast tu na hapo itabidi niongezee..😄😄
🤣🤣🤣🤣Hahahahahaha...umetisha
Huku unadai usawaMi Napenda sana Hela ya baby wangu,ila Nina Moyo wa Asante sana...ningepokea nikakupa Asante kama zote na ubarikiwe nyingiii halafu nakuundia kipengele Cha kusuka nywele kesho yake,kazi iendelee😁😁😁
Acha ubahili mkuu haukusaidii chochote😁Huku unadai usawa
Hahahahahahaha...walau hiyo kdg ..ila uko vzr hapo nimekuelewaMi Napenda sana Hela ya baby wangu,ila Nina Moyo wa Asante sana...ningepokea nikakupa Asante kama zote na ubarikiwe nyingiii halafu nakuundia kipengele Cha kusuka nywele kesho yake,kazi iendelee😁😁😁
😂😂😂Hahahahahahaha...walau hiyo kdg ..ila uko vzr hapo nimekuelewa
Hahahahahahaha...msalimie tu Shem
🤣🤣🤣🤣Humtakii mema mwanaume mwenzio maana umenikumbusha nimpige kibomu tuHahahahahahaha...msalimie tu Shem
15??Acheni hizoMkuu sisi tunachapa broku tu
😂😂😂
Umejieleza sana
Hahahahahaha...piga tu ..ni wako huyo🤣🤣🤣🤣Humtakii mema mwanaume mwenzio maana umenikumbusha nimpige kibomu tu
Huna huruma🙄🙄🙄Hahahahahaha...piga tu ..ni wako huyo
Ah dada unaombaga kumi na 5 nn15??Acheni hizo
Ndizi 250 upo london au😂😂Sisi kwetu viazi vya kukaanga vya miamia vitano,ndizi za 250 mbili,na miguu na firigisi za buku .....na juisi ya miwa hero,jumla 2500.....
Hahahahahaha 👐 ...jioni njemaHuna huruma🙄🙄🙄
Huku kwetu kuna kijumbe kila baada ya siku 3 mtu anatoka anamuachia elfu 20🥺😰Kijumbe mwenyewe ndio myself ha haaaa haaaaa.......Kila member akitoka ananiachia elf 5😁😁😁