Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ujue sasa kuna watu wameoa lkn wanawaambia vijana kataa ndoaLipia tangazo, we si ulisema ni team kATAA ndoa!?.
hiyo kutafuta mke, vipi?!
View attachment 2918161
Bro kataa ndoa for lifeNdiyo ujue sasa kuna watu wameoa lkn wanawaambia vijana kataa ndoa
Kumbe yeye ana enjoy peacefully na familia yake
Iga ufe
Atafute hela au sio...sas kaka kuombwa 15k tu unaleta uzi hum serious !!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulivyojibu haraka.. et Karibu na Geto.. Ulitegemea kuambiwa.. AYA NAKUJA
Nakaziaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutafute hela
Ndio namna pekeeNakaziaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahTafuta hela bro acheni kujificha kwenye vichaka visivyowapa furaha.
Sio mtu wa ibada
Hunywi pombe
Huvuti bangi wala sigara
Kitimoto huli(msabato au muislam)
Haya na hao madem ndo ivo tena unawakazia hata 15k, unajifanya upo no fap challenge, sijui kataa ndoa..
Mazee mtakufa mmesimama shauri zenu.
Furahia you only live once, kalaghabaho
HaswaaaahNdio namna pekee
kijumbe ndo nini?Huku kwetu kuna kijumbe kila baada ya siku 3 mtu anatoka anamuachia elfu 20🥺😰
Anayeshika hela ya kundi/Kiongozi wa kundikijumbe ndo nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta hela bro acheni kujificha kwenye vichaka visivyowapa furaha.
Sio mtu wa ibada
Hunywi pombe
Huvuti bangi wala sigara
Kitimoto huli(msabato au muislam)
Haya na hao madem ndo ivo tena unawakazia hata 15k, unajifanya upo no fap challenge, sijui kataa ndoa..
Mazee mtakufa mmesimama shauri zenu.
Furahia you only live once, kalaghabaho
Wapelekeeni hao hizo papuchi, muwaonee huruma tu maana hamna namna sasa.
Hiyo ni nyuma ya keyboard, ila kiukweli 15k sio hela ndogo!Watu mnazarau sh 15k kweli???....
Sijakuelewa mkuuUnakwepa mkojo huku unang'ang'ania ukanyage mavi
dronedrake
Bora utomber hiyo kumer hivyo hivyo kuliko ndoa , ndoa ni matatizo tuSijakuelewa mkuu