Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Umetisha kijumbe uko ki digital zaidiHamna mi ni kijumbe mzoefu nitawafungulia M-koba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha kijumbe uko ki digital zaidiHamna mi ni kijumbe mzoefu nitawafungulia M-koba
🤣🤣🤣Wako vizuri kuomba 2000 ,10000 nakuendelea sasa hongera tabu inakuja utapoitaji gobole
Tresor Mandala umeonaaaa?kAma M-koba sawa! Nasubiri Announcement
Niko vizuri sana hiyo sektaUmetisha kijumbe uko ki digital zaidi
Dah ko ana igiza😀😂Unatumia App gani kujitumia meseji na kujijibu?
heeeeVijana wangu mnapenda sana kuto mbana
Hahahahahaha...umetishaNiko vizuri sana hiyo sekta
HahahahahaTresor Mandala umeonaaaa?
Sijasema hiyo ndio universal law. Kama alivyosema mtu hapo juu kila mtu na namna alivyo. Mwingine 15k ni km 150k mwingine ni kama 1.5k kila mtu ajikune anapofika.Kucheua ndo 15k??, Mi nampima mtu kwa uelewa wake.
Usishangae sana mkuuheeee
NakaziaUtoto raha sana
[emoji3][emoji3][emoji3] si anajiongelesha tuOna nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?[emoji3][emoji848].
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una ongea na mizimu [emoji38].
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.
Just a kid
Wana mashauzi mno😀😂[emoji3][emoji3][emoji3] si anajiongelesha tu
Anamaanisha vocha za bundle kama hizo so hajakoseaOna nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?😀🤔.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una ongea na mizimu 😆.
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.
Acha utetezi wa ajabu, ana jiungaga hizo bhana😀🤔Anamaanisha vocha za bundle kama hizo so hajakosea
Mwamba kajitetea sana sioUngemjibu kwa kifupi SINA, hayo maelezo yote ya nini?
Hajawahipigwa mzinga huyoUmeombwa 15,000 unaleta ngonjera hapa, we nawe mtoto wa form2 huo nao ni mzinga?
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Aiseh