Elfu 15 eti ni mzinga wa JWTZ?Ungemjibu kwa kifupi SINA, hayo maelezo yote ya nini?
Hiyo hata pesa ya vocha haitoshi.Huyo binti angemuomba jamaa pesa nafikiri angezimia.Elfu 15 hata ukimfungia panzi kwenye ubwabwa anaruka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elfu 15 eti ni mzinga wa JWTZ?Ungemjibu kwa kifupi SINA, hayo maelezo yote ya nini?
"Wenye pesa huwa hawana maneno mengi"
hana hata hela huyu....wenye hela wanajulikanaheee angekuomba mtaji ungempa?
Ona nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?😀🤔.Elfu 15 eti ni mzinga wa JWTZ?
Hiyo hata pesa ya vocha haitoshi
🤣🤣🤣akitoka hapo anatuma pesa.msaliti huyu
Kila mtu ajikune anapofikia, hiyo 15K kwa wengine ni hela ndefu na kuna wengine ni hela ya kawaida sana.One I huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?😀🤔.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una onge na mizimu 😆.
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.
Hakuna mwanaume asiehonga, labda asiwe na uwezo huo🤣🤣🤣akitoka hapo anatuma pesa.
Humu Hakuna mwanaume mbahili ila wapo wapumbavu wanaojifanya wabahili na hawapendi wanawake kumbe n malaya
Daily au? Monthly haitoshi.Ona nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?😀🤔.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una ongea na mizimu 😆.
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.
Uki tembea kutoka kwako Hadi misri, unaeza iokota ?Kila mtu ajikune anapofikia, hiyo 15K kwa wengine ni hela ndefu na kuna wengine ni hela ya kawaida sana.
My sister 15 k mi monthly Bina tosha, na chenchi Ina Baki.Daily au? Monthly haitoshi.
Weekly inaweza kuisha siku ya 4
Kila mtu na uwezo wake,acha kuwasema watu.......Ona nae huyu, kwani vocha siku hizi Zime panda bei ama?😀🤔.
Au ndo kuji fanya star, vocha ya 15 k una ongea na mizimu 😆.
Tresor Mandala, dronedrake, Zulu man, Mgeni wa Jiji, Half american.
Mkuu
Bro hapa msi tufanye wengine, tuonekane tuli kuja kuzurura duniani.Kila mtu na uwezo wake,acha kuwasema watu.......
Utarushiwa ngumi tusikusaidie.🤣
Mhh!! How is that possible?My sister 15 k mi monthly Bina tosha, na chenchi Ina Baki.
Haloteo Wana nipa do 500 kwa 2000, that means kwa 8000 dakika 2000 na sizi malizi.
Though ni mtu wa kuongea Sana.
🤣🤣Wew sema hujampenda ,ndoa huiwezi bhanadah mkuu 15 unaichukulia kama jero sio?
Nkuchune basi kitimoto 1kg leo na pepsiMkuu
Unapokuwa na mwanamke YEYOTE usikwepe majukumu.
Ni haki yao kutuchuna😀
Naomba uni exclude kwenye chama Cha wachunwaji 😀.Mkuu
Unapokuwa na mwanamke YEYOTE usikwepe majukumu.
Ni haki yao kutuchuna😀
Ongea na watu vizuri, Kuna samaki was jero na hujui😀😂Mhh!! How is that possible?
Tigo GB 35 kwa 30k
Voda 30k dk, sms na Gb
Nisipotulia mwezi sitoboi kwa GBs
BF akiwa mjini dk 1000 naaa zinaishaga
😁😁