Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kama Selasini bado anafaa unaonaje ukachagua kazi nyingine kwani kwenda bungeni siyo lazima,viongozi wako wameona mchango wako najua Ukawa tutakuwa na Wabunge wengi hapo october fanya utaratibu mzuri kwani naona msuguano mkubwa utakaosababisha jimbi kuchukuliwa na CCM,ni maoni yangu tujaribu kuwa watulivu na subira,Zito angesubiri miaka mitano ijayo Mwenyekiti na Katibu wangemaliza muda wao wangesogea pale lakini kwa kukosa uvumilivu wanaenda kwa kutumia short kati na hakuna short kati katika mapambano
Nin tena kamanda!
Kura yangu unayo Ben , uaonekana unajitambua nitakusapoti kwa namna zote zitakazowezekana pale utakapopitishwa naamini utateuliwa na chama. Tuliambiwa unahama chama siuamini ile habari lakini nikapata shaka kwa ukimya ulioonesha haya sasa ACT peni kura za ndio mbunge wa CHADEMA
Jimbo la KISUMU.
Jimbo la KISUMU.
Wewe utaendelea kuwa Mbunge wa jamiiforum. Mitandao mingine huwezi kutoa hoja zaidi ya mtandao wenu wa JF kwa wananchi ndiyo utaweza kweli?
Watakuwa wamegundua ana nasaba za ACT.Thelathini anaenda wapi????
umesoma bandiko la Ben mwanzo hadi mwisho?
ni wapi amesema kuwa atagombea kwenye jimbo linaloshikiliwa na Selasini??
Teh TehHongera ben,sina hakika kama ulikaa kimya ili act waendelee kukupaisha...lakin cku nyingine kanusha uvum haraka.weka jimbo wazi,mbona mm nimeweka wazi jimbo la nkasi kusin .
Historia ya maisha yake inaonesha atagombea hukohuko. SELASINI atakuwa na Nasaba za ACT.umesoma bandiko la Ben mwanzo hadi mwisho?
ni wapi amesema kuwa atagombea kwenye jimbo linaloshikiliwa na Selasini??
Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu
Nani wa kuficha aibu ? Ccm na act au?maana wewe ni mojawapo jana mliosema ben kwa kuhamia jehanamu ccm/act kajitambua