Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

kama Selasini bado anafaa unaonaje ukachagua kazi nyingine kwani kwenda bungeni siyo lazima,viongozi wako wameona mchango wako najua Ukawa tutakuwa na Wabunge wengi hapo october fanya utaratibu mzuri kwani naona msuguano mkubwa utakaosababisha jimbi kuchukuliwa na CCM,ni maoni yangu tujaribu kuwa watulivu na subira,Zito angesubiri miaka mitano ijayo Mwenyekiti na Katibu wangemaliza muda wao wangesogea pale lakini kwa kukosa uvumilivu wanaenda kwa kutumia short kati na hakuna short kati katika mapambano

umesoma bandiko la Ben mwanzo hadi mwisho?
ni wapi amesema kuwa atagombea kwenye jimbo linaloshikiliwa na Selasini??
 
Kura yangu unayo Ben , uaonekana unajitambua nitakusapoti kwa namna zote zitakazowezekana pale utakapopitishwa naamini utateuliwa na chama. Tuliambiwa unahama chama siuamini ile habari lakini nikapata shaka kwa ukimya ulioonesha haya sasa ACT peni kura za ndio mbunge wa CHADEMA

Teh Teh Ben saanane ana akili kuliko vijana wote wa chadema.
 
umesoma bandiko la Ben mwanzo hadi mwisho?
ni wapi amesema kuwa atagombea kwenye jimbo linaloshikiliwa na Selasini??

Teh Teh unafikiri ataweza kigombea wapi zaidi ya hapo? Sio msaliti tena?
 
Kwani alisema anahama? Mnahama nyie wenye kumfuata mtu.
 
Makenze futa kauli yako, uliitia vizuri tahariri zetu? Au ushazoea kuzusha!! Hii ni mpaka magogoni.
 
Hongera ben,sina hakika kama ulikaa kimya ili act waendelee kukupaisha...lakin cku nyingine kanusha uvum haraka.weka jimbo wazi,mbona mm nimeweka wazi jimbo la nkasi kusin .
Teh Teh
B en sio msaliti tena?
 
Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu

Kamanda Ben, kwanzakabisa nakupongeza kwa huu uwamuzi wa kutaka wa kuwapigania, kuwaongoza na kuwatumikiawananchi. Pili nakupongeza kwa kuwazimamidomo wale wote walioeneza uzushi tangu juzi kuhusu kuhamia kwako ActWasaliti. Tatu umeleta hamasa kwa vijana wenzako hasa ndani ya chadema, kuwawakati umefika kwa vijana kuwapumzisha wazee wanaosinzia mjengono na kusubiri kusema ndoyoo!
 
Nani wa kuficha aibu ? Ccm na act au?maana wewe ni mojawapo jana mliosema ben kwa kuhamia jehanamu ccm/act kajitambua

Teh Teh mimi ni mchochea kuni.
 
Back
Top Bottom