Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Kamanda nimefurahishwa kwa uamuzi wako. Naahidi kukupatia mchango japo wa kuchapisha hii makala yako ili wale wa vijijini- kuanzia Mrere hadi Rigicha kule mkoani Mara, wapate nakala. Naamini si wote wote wenye kupata huduma hii ya mawasiliano ya kisasa ya intaneti. Nanuia watambue dhamira yako njema ya kuwatumikia. Mungu akubariki sana.

Kaka Manyerere Jackton,

Natanguliza shukrani zangu kwako kaka.Ubarikiwe sana
 
Last edited by a moderator:
Twende zetu ben. Karbu rombo tupige jaramba. Your stir is going to shine more.
 
Aih jamni ben ndo umetutosa act na sisi tulikuwa tumekuandalia coverage ya kutosha think twice ben
 
Go back to school! Hujui chochote na ndio utamaduni wa maUVCCM huo.

well said shardcole...hebu muulize tena kuyu habari ya mujini wakati wenzake kina Sanane wanaandika proposal wakafanye PhD yeye anakuwa anafanya nini??? kwani hizo fursa haziwahusu wao wazee wa buku saba saba?

tanzania mpya tuitakayo haina room ya kulipa wanamipasho kama huyu anayejiita habari ya mujini...tunataka kila mtu anayepokea mshahara na awe na mchango kwa taifa....hawa kina habari ya mjini ndio hasa wanaodidimiza uchumi...mnakuwa na kundi kuuubwa la matapeli hawafanyi uzalishaji wa aina yoyote ile....
 
mbona unaongea kama umemeza pap**chi mdomon ndugu...tulia dawa ikuingie
 
Hayo mambo ya kupinga hela za mifuko ya majimbo na kupunguza posho za wabunge achana nayo hayo, you need that money too.
 
Saanane kila la kheri mkuu, ila hofu yangu ni kuwa chama chako hakitakupa ridhaa, huaminiki ktk chama na mbaya zaidi ni kuwa Joseph Selasini anapesa na atatumia hizo fedha za mfuko was Jumbo na pesa ya kiinua mgongo kuwahonga viongozi.

Chadema no chama kinachothamini wenye nacho,hivyo kama umedhamiria waandalie Fedha viongozi ili wakufikirie.
 
Dah, siku hii imekuwa njema sana kwangu na kwa watu wote wanaopenda ukombozi na mabadiliko ya kweli. Nenda Ben Nenda!
 
Bora umeweka wazi juu ya hayo masaa 72 maana kuna watu humu walitunga uongo na kuushupalia zaidi ya uingo wenyewe!
 
Moyo wangu umejawa na Furaha, Hongera sana kaka. Nilitishwa sana habari za kizushi juu yako, Ila niliamini usingeweza Kuwasaliti rafiki zako Walio poteza Uhai wao katika harakati za kufanilisha Safari yako. Nakupongeza sana Jirani, Kila la heri, chama kikikupa ridhaa nipo tayari kutoa mchango wangu wa hali na mali kufanikisha safari yako. Hongera sana.
 
Teh Teh Bavicha ni kama futuhi leo sijui wataficha wapi sura zao?

Bavicha wanacheza na akili za majuha kama nyie.. wa kuficha sura ni nyie mnaojipa moyo wa kuisambaratisha ukawa. poleni sana akili ndogo.
 
Mkandara
Ieleweke kuwa,wakati unapiga porojo hapa jf,Kamanda mawazo anaendelea kueneza sera za chama na kuvua magamba mkoa wa simiyu.


Wakati Alphonce Mawazo akifanya hivyo,kamanda Ole Sosopi M/ kiti Bavicha anaendelea na kueneza sera, itikadi na falsafa za chama huko kanda ya kusini,Mbeya,Iringa,Njombe na ataelekea songea,

Wakati huohuo Timu ya Mh.Mbunge Jj Mnyika inaelekea kanda ya kusini ( Lindi,Mtwara,unguja,Pemba) anapanga timu huko,wewe unataka Mbowe na Dr.slaawazunguke nchi nzima kueneza sera?,Zitto tu atafanya hivyo chadema chama dume ni chama kikubwa sana,kimeweka migawanyo ya manukumu,jifunze vizuri
 
Back
Top Bottom