Subiria Siku 90 zipite ukapime HiV Ok?
 
Mpaka sasa nimelala natikisa tu mguu nasuburi kuona kama penzi ni kitovu cha uzembe au Edwin Semzaba alituzuga.......... daah vijana aiseeee...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe jana si ulisema ulikua Dodoma,ukaingia gesti na demu?

Jana hio hio tena unasema ni katibu wa kamati 😆😆😆😆😆😆😆

Mbona nyuzi zako km unatudanganya hivi 🤣🤣🤣
Angalia tarehe za nyuzi kabla hujakurupuka mkuu.
 
Wewe jana si ulisema ulikua Dodoma,ukaingia gesti na demu?

Jana hio hio tena unasema ni katibu wa kamati [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Mbona nyuzi zako km unatudanganya hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo jamaa katulisha matango pori sivyo?
 
Umemalizia vizuri sana wee bwege [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


Dahh nakuonea wivu mamaeee [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji38][emoji28][emoji38]
 
Hahah umekula kimasihara sana I just wondered watu wanaosema ni ndoto[emoji23][emoji23] nowadays kuwala mademu imekuwa sio ishu kabisa ni vile wewe unavyoji position tu[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…