Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Sasa Fanya hivi muache mkeo uoe house girl na yeye alete house girl.
 
Last edited by a moderator:
Mchagga yuko bomba huyo we acha tu. Hicho ni kifaa hadi kesho nakitaka sema kimenitolea nje kisa sina pesa.
Cc.. miss chagga
Mkuu wachagga wengi wa kike mbona wakarimu tu
 
Last edited by a moderator:
wanaume wengi wanaojifanya kushika dini sana hutembea na hg wao
 
Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.

Sio story in kweli. Mi mume Wangu kamwambia house girl na kwa sasa kabinti kana kiburi hata umwambie nini anafanya akijisikia na kubetua midomo. Pia mtaani anamsimulia kila mtu, sasa sijui watu wananichukulia vipi. Si kwamba wao so binadamu ila inapoteza heshima ya mwenye mji.
 

upumbavu hauna ujazo
 
Mke wako alikosea sana kuolewa na mwanaume mwenye hadhi ya kiuhouseboy
 
wakina baba tujiheshimu hawa ma-house girl ni sawa na wadogo zetu jameni
 
kina mama nao wamezidi sana kukaimisha majukumu yao kwa mahausigeli,matokeo yake ndo haya,mi hausigeli alianza hadi kutandika kitanda chetu nkaona huku anapoelekezwa na mama tutaishia kupeana lawama bure,nkapiga marufuku hata kuingia tu chumbani kwetu sitaki aingie
 
Hilo jina ulilochagua mboa haliendani na haya uyasemayo?
 
Naona unamuunga mkono Kapteni (Marehemu) kwa vitendo. Hongera
 
lete mrejesho mambo yalivyoenda maana huu uzi ni wa kitambo kweli
 
Ndo mpe Sasa unaomba ushauri wa nini ulivokua unamgegeda mbona ukutaka ushauri wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…