Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Sasa ndio umejikomoa mwenyewe maana utaishi kwa mashaka na hofu hapo nyumbani hadi huyo hg atakapoondoka.umeshakuwa mtumwa ndani ya nyumba yako.hg sasa amekua bossi wako itabidi umnyenyekee ili asitoboe siri.
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!
.

Kama ulimtawanya muunganishe sasa. We kwa nn ulimtawanya kabla ya muda.?
 
Nikwambie kitu....umekwisha swahiba wangu....HG anademand kwa sababu yeye ndiye kuwadi wa mkeo kwa mijamaa na anajua wapi wanakula uroda. Anadai kwa sababu ameona michepuko ni dili...lakiniiiiiiii...swahiba umeumia.......fuatilia nyendo za mkeo......
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!
 
kaka ma-housegirl hawa sometimes wanakaa na nyege kipindi kirefu sana so si mbaya ulipoamua kumsaidia, vinginevyo wauza genge wangeanza kumkata ny.ege qumaani. hiyo kutaka haki sawa hakuna tabu we endelea kumfirimba taratiibu ndo dawa yao kupunguza dharau
 
Ulisema "Jf imekupatia mke mwema" kumbe kazi yako kuwalala ma hg...
 
Kama ni mkristo rudi kwenye bible soma waefeso yote na waebrania yote utapa majibu nini maana ya ndoa na jinsi ya kuheshimu mke if your Muslim ongeza baba wala hakuna shida but mjulishe mkeo
 
Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.
Utunzi ni kipaji.... tatizo ni hawa ma great thinkers walivyoingizwa choo cha kike na hii hadithi ya kusadikika....

hongera kwa uchapa kazi!!!!!!!!!!!!!

we blessings umerogwa? yaani umeenda kumgegeda housegirl kweli? mbona haiingii akilini ndugu yangu ndo tama au?

Duuh sasa we ndugu yangu umepitiliza housegirl umemtimba shemeji zako si ndo utazaa nao kabisa. JIHESHIMU

Ongeza mke mkuu mpe promotion huyo housegirl

unasali kwa yule jamaa anayepita-pita ubungo?
(ati ukiwa na house girl na ucpompiga ni dhambi)

Ulimtawanya nini? Mikono?

binti kanogewa na dushe

Hongera na hayo ndio malipo ya uzinzi sasa umerikoroga lazima ulinywe

Its the last thing i will do alive

Mpe haki yake,mpangie zam.

Wewe na housegirl milembe ndiyo sehemu inayowafaa!

Wanandoa tujiheshimu katika ndoa zetu hao wadada tuwafanye kama dada/wadogo zetu. kutembea nao ni kuwapotezea malengo yao
 
Its the last thing i will do alive

Acha ujuaji mkuu! Labda uwe na hausigel mwenye sura kama jini! Watu tushapiga hawa wadada hadi kutia mimba kabisa halafu tunaitoa! Mtu hana muda wa kupumzika unategemea nini? Kuwa na huruma mupe dushe mara moja moja na utaona anavyonawiri na kuwapenda wanao
 
Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.

Hapa ndugu yangu umeongea kweli ya Mungu humu ndani watu kutunga story wanaona ni cheo sasa ngoja siku Moja yaje yamtikee kama ataomba ushauri atabaki kuchanganyikiwa tu upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom