Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.
sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.
Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.
sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.
Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!
Utunzi ni kipaji.... tatizo ni hawa ma great thinkers walivyoingizwa choo cha kike na hii hadithi ya kusadikika....Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.
hongera kwa uchapa kazi!!!!!!!!!!!!!
we blessings umerogwa? yaani umeenda kumgegeda housegirl kweli? mbona haiingii akilini ndugu yangu ndo tama au?
Duuh sasa we ndugu yangu umepitiliza housegirl umemtimba shemeji zako si ndo utazaa nao kabisa. JIHESHIMU
Ongeza mke mkuu mpe promotion huyo housegirl
unasali kwa yule jamaa anayepita-pita ubungo?
(ati ukiwa na house girl na ucpompiga ni dhambi)
Ulimtawanya nini? Mikono?
binti kanogewa na dushe
Hongera na hayo ndio malipo ya uzinzi sasa umerikoroga lazima ulinywe
Its the last thing i will do alive
Mpe haki yake,mpangie zam.
Wewe na housegirl milembe ndiyo sehemu inayowafaa!
Wanandoa tujiheshimu katika ndoa zetu hao wadada tuwafanye kama dada/wadogo zetu. kutembea nao ni kuwapotezea malengo yao
Its the last thing i will do alive
Mnatunga hizi story kwa faida gani? Sijawahi kuelewa.
Ulisema "Jf imekupatia mke mwema" kumbe kazi yako kuwalala ma hg...