Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Kwanza mnatumia avatar zenu vibaya, hivi unapotumia jina hilo la umebarikiwa halafu matendo yako si mazuri, unaona wewe mjana ja sana ehee.....
 
We ulitegemea nini? Kinachomtofautisha housegirl na mkeo ni hiyo kitu .... Sasa umeshawaweka level sawa, mpe haki yake
 
Usijute koz ulianzisha mwenyewe sasa malizia koz una juwa kabisa una mke alafu unaenda kwa beki tatu tena
 
Kk kuanzia vita si kazi kazi kuimaliza USA anahangaika nalo Iraq na Afghanistan nk
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah!
 
Kuwa makini lasivyo utapoteza ndoa na kibarua....au hujui kuwa mke anaweza akafanya ukose kazi akiondoka?.
 
Mpe tuu si umetaka kumuonjesha asali kwann arambe mara moja
 
hapo nyumbani kama mko zaidi ya wanne basi wewe ni kichaa ''utafiti''
 
Aisee endelea kula huyo dada.kama mke mdogo tu kuliko kwenda kuokota makahaba barabarani. Ikiwezekana nipatie mawasiliano yake niwe namchunga ukiwa umerudi kwa mkeo usiku. Infact,ukiwa nao wawili afya ina imarika kama baadhi ya Wazee humu nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…