Nimefanya Utafiti wangu huu Binafsi Je, nipo sahihi nao au niendelee Kuufanya zaidi?

Ndio maana rate ya single mothers ipo juu sana.
 
Rudisha kuanzia 30 na ndio wanaongoza kwa kutumia ndumba yani ukizubaa umekuwa ndondocha..
 
hiyo scenario inatwa "hitting the wall" . nahii inawakuta kuanzia 30yrs. enzi za ujana wao wakiwa kweye 20s huenda walikutana na potential husbands material..
ila kwa vile mambo mengi.. umri na attention.. wakaona hawana maana..waponde raha.

wanavyofika 30s na kuendelea ile attention inapotea.. wanaanza kushtuka probably kukumbuka waliwatupa wanaowahitaji..
sasa age imeenda hao watu hawawitaji tena.

hiyo issue ni common sana kwa kizazi cha sasa
 
Nimecheka sana kwakuwa umesema Ukweli wote na Binafsi ni Mhanga wa Kukoswakoswa 'Kurogwa' na Wanawake Wawili ambapo walichokuwa hawakijui tu ni kuwa hata Mimi pia ni 'Mrogaji' vile vile tena Kuwazidi ( Nawazidi )
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we jamaa hii bangi itakuwa ya Masaki ile
 
hiyo scenario inatwa "hitting the wall" . nahii inawakuta kuanzia 30yrs. enzi za ujana wao wakiwa kweye 20s huenda walikutana na potential husbands material..
ila kwa vile mambo mengi.. umri na attention.. wakaona hawana maana..waponde raha.

wanavyofika 30s na kuendelea ile attention inapotea.. wanaanza kushtuka probably kukumbuka waliwatupa wanaowahitaji..
sasa age imeenda hao watu hawawitaji tena.

hiyo issue ni common sana kwa kizazi cha sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…