Nimefatilia maisha ya Jay Z, nimegundua kuoa sio jambo la haraka

Nimefatilia maisha ya Jay Z, nimegundua kuoa sio jambo la haraka

kwa uo umri wa Jay Z angekua anaishi huku kwa mpalange ima angekua keshakufa au kazeeka dhofu lhali kwa maradhi.

leo nimemsikia mwanamama akitaja umri wake ofisi za voda,anasema kazaliwa 1980 ukimuangalia huyo mama ni bibi yani bibi kabisa kazeeka kaisha.Jay Z kwa uyo mama anaonekana ni mdogo tena mdogo sana.
🤣😆🤩😎😊
 
Mim pia sioni sababu ya kuoa na kuzaa mapema kama haujajipanga kiuchumi , huu ni mkakati mzuri sana wakupunguza panya Road.
We ujipange kiuchumi kwenye nchi hii hii ambayo unamaliza chuo na kwenda kukaa nyumbani miaka 5 bila ajira? 😀 😀 😀

My friend kama unangoja uwe na hela kama Jay Z ndo uoe subiria kuzaa ukiwa na miaka 70.
 
NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Mkuu Jay nipo hapa born on December 4th, say same day same time but on different location

Nb: ambacho sio kiswahili ni kimombo nimecharaza kingereza sio Cha ugoko na kugombea maji

Wanawake ndio hulazimishwa kuolewa hakuna mwanaume anaemlazimisha kumuoa mwanamke hakuna hio napinga tena hakuna,

First of all Jay Z, ni Sagittarius na tabia za Sagittarius ni wanaita Alpha males, sio Omega most are like that, sasa Alpha male hupenda kula kilicho chake sio vilivyo vya wengi na ili ule kilicho chako usile kilicho Cha wengi Ina maanisha wewe ni wa thamani na ili utimize hilo unahitaji muda kudadisi na kuperuzi, Sagittarius humpenda zaidi mwanamke anaempa Uhuru kuishi anavyotaka na anavyopenda nae pia hufanya the same but usichojua sisi Sagittarius tuna kawivu fulani ka chini kwa chini we never show that to you kingine hatuwapendi backbiters, ndio maana hutuchukua muda mrefu kufanya maamuzi ya kuoa, Cha kuongezea ili uwe na Uhuru unahitaji Pesa za kutosha na Sagittarius huamini katika Pesa ndio maana wengi huwekeza na wengi ni wacheza kamari wazuri (Gamblers) Jay Z kupitia Brooklyn Nets anaweka kibunda anavuna mafao

Wesha redio weka muziki wa Keny Rogers - The Gamblers utaona Sagittarius anavyosimama kusikiliza wimbo kwa makini, hata kwenye issue ya ndoa Sagittarius hua anacheza kamari maana anajua ndoa ni km game 'mchezo wa kamari' ya Russian roulette kuna kupata kuna kukosa na kuna kula na kuna kuliwa, lazima ujue mda gani ubaki, ujue mda gani usisukume kete na ujue pia ni mda gani uondoke

NB : kwenye mabano ni kingereza au lugha isiyo rasmi
 
We ujipange kiuchumi kwenye nchi hii hii ambayo unamaliza chuo na kwenda kukaa nyumbani miaka 5 bila ajira? [emoji3] [emoji3] [emoji3]

My friend kama unangoja uwe na hela kama Jay Z ndo uoe subiria kuzaa ukiwa na miaka 70.
[emoji15][emoji15]
 
Je wewe na jayz mnafanana mambo mengine?
Ukisikia wabongo nyoko ndo hii yani we utoke itigi huko ukajichukulie mfano kw jay z hii ndo waisilamu hpa wanakuambia innalillah wainaillayh rajiuun(msibahuu)
 
We ujipange kiuchumi kwenye nchi hii hii ambayo unamaliza chuo na kwenda kukaa nyumbani miaka 5 bila ajira? 😀 😀 😀

My friend kama unangoja uwe na hela kama Jay Z ndo uoe subiria kuzaa ukiwa na miaka 70.
Kwani tatizo liko wapi ukioa na miaka 70 wakati hela unayo. Uzuri ni kwamba wanawake wao wanaangalia hela sio umri au uzee.
Una miaka 70 unakula watoto wa mika 28
 
Nipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017

Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38

Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed

Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi

Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.

Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.

NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Usilinganishe Tanzania na Marekani kwenye masuala ya umri wa kuishi.

Ukiona hiyo sensa utaona Mtanzania kufikisha miaka 40 ni "BAHATI NASIBU"
 

Attachments

  • Polish_20230423_093158473.jpg
    Polish_20230423_093158473.jpg
    125.1 KB · Views: 10
Watu wansoa na kuolewa mapema kwa sababub ya kwanza kuepuka kuzaa.watoto maahira yasiyokuwa na akili Mbegu na viungo vya uzaxzi vinakuwa strong kwenye early age ya ujana mtu.kufikia 40.anatakiwa awe kamaliza kuzaa sio ndio anaanza

Pili watu wanazaa mapema kuogopa kuja kusomesha watoto kwa lutumia pensheni
Ukichelewa kuzaa mfano umeoa.na miaka 40 .Mtoto kufikia umri wa kuanza shule umri wako utakuwa miaka 47 atamaliza darasa la saba ukiwa na miaka 54

Una miaka 54 ndio kwanza myoto.yuko darasa saba.Sekondari miaka 6 yaani form one hadi form six akisoma anamaliza form.six utakuwa na miaka 60 utakuwa umestaafu

Sasa kivumbi kiaanza mtoto anatakiwa kwenda chuo .Vumbi litakutimukia hapoutatakiwa kumsomesha kwa kutumia pensheni.Hapo ndipo akili itakurudia kuwa ulikosea kuchelewa kuoa hapo ni mmoja tu kama ukizaa wengi utajuta

Mtoto.atasoma kwa shida

Utabaki kushangaa waliowahi kuoa na kuzaa mapema wakifika miaka 60 watoto wao wote walishakuwa watu wazima walishamaliza kusoma vyuoni wana maisha yao hawategemei mzazi wewe ndio kwanza mgoma mbichi
 
kuoa upangi unakuta kumetokea yani kuwa na mahusiano imara namwanamke anaejitambua unakuta umemuoa ila omba usipate mwanamke anaejitambua utajikuta kwenye ndoa bila kupenda ila ukipata wanaojiita Queen, princess na slay queens hautaoa leo wala kesho 🤣
 
Nipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017

Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38

Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed

Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi

Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.

Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.

NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Mm nazani maishayawatu hayafanan walatabia zao hazfanan
Kunamtu inawezekana akachelewa kuowa naiwasawa kwake
Lkn kunamwengne ikawatatzo kwake ssa cjui ww niyup katkahao usijeukajikuta unajifananisha na jz kumbe mambonitofaut mwishowacku ukaanza kujlaumu
Lkn pia wenzetu wazungu wanamifumoyao wao husoma mpk wakamaliza na mkapatakaz nahuku wakiwa wanaishi kmawanandowa
Badaehukoo washakaribia kuzeeka ndio wanafungandowa
Lkn pia hatakuzaa kwenyewe siwazaaj watto 2 au 3 kaz imeisha
ama kwamm boranizae alafu niitwe baba kuliko nizae alafu watto wangu waniite babu iyo hapana huo ndio mtazamowangu
Amaukiwa haunakaz walapakuishi nikweli wwborautuliekwanza
Lkn kama mambosaf mapemaaa mm niliowa nkiwa na miaka 20tu na sasa nkona 43 nnawatto 7 namaisha yanaenda hakunamazur zaidi ya yaleyaliyopita hukonyuma klauchao yanazid kuwamagumu,
 
Nipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017

Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38

Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed

Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi

Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.

Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.

NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Naunapo jichelewesha kuowa ujuwe haowatto hawatakuwa msaada kwako kwanza utawasomesha kwashida mana umeshazeeka au utashindwa kabsa na ukiweza kuwasomesha
Basi tambuwa kwamba waowakianza kuwa na ajira ww nimarehem mafao nikwawengne mriwenyewe umevuta sana kwassa ni miaka 60
Maamuzi niyako lkn mm tayari kitambo na nimeshaozesha nikiwana miaka 43 nawengne wanasoma hapasasa nnampango wakuacha kuzaa nahisi watto 7 siombaya sana
Kwaushauriwangu mm borakuzaa mapema ili upumzike kulea ukiwa unazeeka kulko kulabata ukiwananguvu zako alafu unazaa ukiwausha choka hiyo sio sawa kbs,
 
Naunapo jichelewesha kuowa ujuwe haowatto hawatakuwa msaada kwako kwanza utawasomesha kwashida mana umeshazeeka au utashindwa kabsa na ukiweza kuwasomesha
Basi tambuwa kwamba waowakianza kuwa na ajira ww nimarehem mafao nikwawengne mriwenyewe umevuta sana kwassa ni miaka 60
Maamuzi niyako lkn mm tayari kitambo na nimeshaozesha nikiwana miaka 43 nawengne wanasoma hapasasa nnampango wakuacha kuzaa nahisi watto 7 siombaya sana
Kwaushauriwangu mm borakuzaa mapema ili upumzike kulea ukiwa unazeeka kulko kulabata ukiwananguvu zako alafu unazaa ukiwausha choka hiyo sio sawa kbs,
Unazaa ili watoto waje wakusaidie uzeeni
Hizi nadharia zimewaponza wengi
 
Kwani tatizo liko wapi ukioa na miaka 70 wakati hela unayo. Uzuri ni kwamba wanawake wao wanaangalia hela sio umri au uzee.
Una miaka 70 unakula watoto wa mika 28
Your mind is very corrupted mkuu 😂😂😂😂😂 i wish to see in person sijui unafananaje kwa haya unayoandika humu
 
Your mind is very corrupted mkuu 😂😂😂😂😂 i wish to see in person sijui unafananaje kwa haya unayoandika humu
Kama binadamu wengine tuu.
Upo wapi mrembo we have a randezvous
 
Back
Top Bottom