Kazi ikiisha una uwezo hata wa kula hata kwa miezi mitatu? Ukiwa kazini walau unaweza kumsomesha mtoto lakini ukistaafu hutaweza au unafikiri kuwa ns miaka ming ndio automatically kuwa na hela?Mimi mwalimu wa kingereza Mkuu Sasa hizo kuni nakatia wapi wakati nakaa Temeke vetinary?