DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
-
- #41
π€£ππ€©ππkwa uo umri wa Jay Z angekua anaishi huku kwa mpalange ima angekua keshakufa au kazeeka dhofu lhali kwa maradhi.
leo nimemsikia mwanamama akitaja umri wake ofisi za voda,anasema kazaliwa 1980 ukimuangalia huyo mama ni bibi yani bibi kabisa kazeeka kaisha.Jay Z kwa uyo mama anaonekana ni mdogo tena mdogo sana.
We ujipange kiuchumi kwenye nchi hii hii ambayo unamaliza chuo na kwenda kukaa nyumbani miaka 5 bila ajira? π π πMim pia sioni sababu ya kuoa na kuzaa mapema kama haujajipanga kiuchumi , huu ni mkakati mzuri sana wakupunguza panya Road.
Mkuu Jay nipo hapa born on December 4th, say same day same time but on different locationNB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
[emoji15][emoji15]We ujipange kiuchumi kwenye nchi hii hii ambayo unamaliza chuo na kwenda kukaa nyumbani miaka 5 bila ajira? [emoji3] [emoji3] [emoji3]
My friend kama unangoja uwe na hela kama Jay Z ndo uoe subiria kuzaa ukiwa na miaka 70.
Ukisikia wabongo nyoko ndo hii yani we utoke itigi huko ukajichukulie mfano kw jay z hii ndo waisilamu hpa wanakuambia innalillah wainaillayh rajiuun(msibahuu)Je wewe na jayz mnafanana mambo mengine?
Sasa ndio nini kuwavunja moyo wenzio?Je wewe na jayz mnafanana mambo mengine?
Kwani tatizo liko wapi ukioa na miaka 70 wakati hela unayo. Uzuri ni kwamba wanawake wao wanaangalia hela sio umri au uzee.We ujipange kiuchumi kwenye nchi hii hii ambayo unamaliza chuo na kwenda kukaa nyumbani miaka 5 bila ajira? π π π
My friend kama unangoja uwe na hela kama Jay Z ndo uoe subiria kuzaa ukiwa na miaka 70.
Wrong! Life begins from your mother womb.Life begins at 40
Usilinganishe Tanzania na Marekani kwenye masuala ya umri wa kuishi.Nipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017
Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38
Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed
Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi
Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.
Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.
NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Mm nazani maishayawatu hayafanan walatabia zao hazfananNipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017
Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38
Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed
Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi
Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.
Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.
NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Naunapo jichelewesha kuowa ujuwe haowatto hawatakuwa msaada kwako kwanza utawasomesha kwashida mana umeshazeeka au utashindwa kabsa na ukiweza kuwasomeshaNipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017
Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38
Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed
Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi
Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.
Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.
NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Unazaa ili watoto waje wakusaidie uzeeniNaunapo jichelewesha kuowa ujuwe haowatto hawatakuwa msaada kwako kwanza utawasomesha kwashida mana umeshazeeka au utashindwa kabsa na ukiweza kuwasomesha
Basi tambuwa kwamba waowakianza kuwa na ajira ww nimarehem mafao nikwawengne mriwenyewe umevuta sana kwassa ni miaka 60
Maamuzi niyako lkn mm tayari kitambo na nimeshaozesha nikiwana miaka 43 nawengne wanasoma hapasasa nnampango wakuacha kuzaa nahisi watto 7 siombaya sana
Kwaushauriwangu mm borakuzaa mapema ili upumzike kulea ukiwa unazeeka kulko kulabata ukiwananguvu zako alafu unazaa ukiwausha choka hiyo sio sawa kbs,
Wewe wasemaWrong! Life begins from your mother womb.
Your mind is very corrupted mkuu πππππ i wish to see in person sijui unafananaje kwa haya unayoandika humuKwani tatizo liko wapi ukioa na miaka 70 wakati hela unayo. Uzuri ni kwamba wanawake wao wanaangalia hela sio umri au uzee.
Una miaka 70 unakula watoto wa mika 28
Kwahio watu wasije kwenye intavyu πππ maana si ulileta tangazo la kaziUnazaa ili watoto waje wakusaidie uzeeni
Hizi nadharia zimewaponza wengi
Kama binadamu wengine tuu.Your mind is very corrupted mkuu πππππ i wish to see in person sijui unafananaje kwa haya unayoandika humu