shamariwa chool
JF-Expert Member
- Dec 14, 2024
- 265
- 248
😂Nasyo kufa uzikwe nayoPole mkuu dawa ya deni ni kulipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Nasyo kufa uzikwe nayoPole mkuu dawa ya deni ni kulipa
Mambo yamekuwa magumu Sasa, inabidi nikope huku ili nilipe huku, hii inanitesa sana.Serikali yenyewe ina daiwa Matrilionea una ogopa nini,kwanza unatakiwa ujipongeze una akili zako timamu ndio maana una kopesheka mkuu.
Kama hudaiwi ujue huna akili.... Nakuombea Sana kwa Mwenyezi MUNGU akutendee Jambo. Madeni yanazeesha na kuumiza sanaKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Una daiwa kiasi mpaka sasa nikusaidie mbinu ya kulipaMambo yamekuwa magumu Sasa, inabidi nikope huku ili nilipe huku, hii inanitesa sana.
Walionizaa hawajui ninachopitia, hata ni huruma kuwaambia, umri wa uzee, afya zao ndo haswa mtihani wetu. Siwezi kuongeza na hili langu. Nashindwa kumwambia yeyote.Acha kukopa ,waliokuzaa wakulipie hayo madeni.
Inafika 6m.Una daiwa kiasi mpaka sasa nikusaidie mbinu ya kulipa
Kausha damu au bank mkuu?Inafika 6m.
Pambana😅Walionizaa hawajui ninachopitia, hata ni huruma kuwaambia, umri wa uzee, afya zao ndo haswa mtihani wetu. Siwezi kuongeza na hili langu. Nashindwa kumwambia yeyote.
I can feel your pain mkuu na raia zitasema wewe ni tapeli umekopa lakini hulipi. Lakini komaa mambo yatabadilika. Kuna muda unakuwa na madeni hata kulipa haiwezekaniKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Pole lakini tatizo halisolviwi kwa kulikimbia mkuu... Pambana kwa maana hata ukifa bado madeni yako yatakua pale pale.Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Ni ndugu na marafiki. Siyo kausha damu .....Sasa ninaposhindwa kuwalipa, nakosa chakuwaeleza zaidi. Nimejaribu kuuza shamba langu la miti Lina ekari kama 5, miti Ina miaka 10....hakuna mteja. Shamba lingenisaidia kufunga hii habari yote.Kausha damu au bank mkuu?
Mie madeni yangu yanaweza fika 40+ lakini sina hata wasiwasi na mie pia nadai jumla 68+Mimi nadaiwa million 13..
Ila nakatwa kila mwezi so hainihumi sana maana Toka nianze kufuga KUKU na enjoy sana nakupa ukweli wana faida asikudaganye mtu Mimi shuhuda
Marehemu ni tajiri, Mimi Sina kitu kwa Sasa...ila kwenye misiba pesa huwa zinapatikana.Pole lakini tatizo halisolviwi kwa kulikimbia mkuu... Pambana kwa maana hata ukifa bado madeni yako yatakua pale pale.
Yani ujiue kisa 6 million? Acha mawazo hayo mkuu.Marehemu ni tajiri, Mimi Sina kitu kwa Sasa...ila kwenye misiba pesa huwa zinapatikana.
Asubuhi natakiwa niwe na 1,250,000/- kutokana na ahadi ambazo nazo nimezivuta sana, ila Nina 5,000 TU. Kila sehemu Giza.Yani ujiue kisa 6 million? Acha mawazo hayo mkuu.