Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha asili ifanye mambo yake kwa maana kufa Kila mtu atakufa, yachukulie maisha kama game tu, Kila kinachokutokea kwenye upande hasi na chanya jua ni kutokana na namna ulivyocheza hiyo game.Marehemu ni tajiri, Mimi Sina kitu kwa Sasa...ila kwenye misiba pesa huwa zinapatikana.
pole boss, usikate tamaa, Mimi ninadaiwa sio chini ya 30m ila neema ya Mungu imenifunika.Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Inaitwa between a rock and hard place......kote moto.Si bora udaiwe huku duniani, ukifa unajua unakoenda ?
Hili deni bado ni himilivu kwa viwango vyote vya kitaifa na kimataifa.Jumla zinafika 6million.
Mimi hapa ndio nashindwa kuelewa yani madeni yanamuuaje mtu? Si uhame unapoishiKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Umri wakoJumla zinafika 6million.
Milion 13 wanakukata ngapiMimi nadaiwa million 13..
Ila nakatwa kila mwezi so hainihumi sana maana Toka nianze kufuga KUKU na enjoy sana nakupa ukweli wana faida asikudaganye mtu Mimi shuhuda
Ela yakawaida hiyo pambana uilipeJumla zinafika 6million.
Ameze na lineToroka mkoa utakufa ww
Hizo chacheJumla zinafika 6million.
Imeisha hiyoUnatembea na fursa mkuu....Mimi ni ke