Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Umemshauri vyema, hayo madeni inabidi ayacancel yote na njia rahisi ni kukimbia mkoa/mahali alipo, vinginevyo atajikuta hafanyi chocchote na atakufa kweli!Toroka mkoa utakufa ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemshauri vyema, hayo madeni inabidi ayacancel yote na njia rahisi ni kukimbia mkoa/mahali alipo, vinginevyo atajikuta hafanyi chocchote na atakufa kweli!Toroka mkoa utakufa ww
Mkopo wa Bank au hawa wa mitaaniInafika 6m.
Nipo serious na maisha Mkuu,kama una T2 agiza chochotee nitalipaaa😀😀Unatembea na fursa mkuu....Mimi ni ke
Na dawa ya kulipa ni nini?Pole mkuu dawa ya deni ni kulipa
Kiande wewe, unataka kufa kwa sababu unadaiwa milioni 6?Jumla zinafika 6million.
ulifanyia nn ww? Tatzo la maskini akpata pesa hajali hata kama ni ya mkopo atawaza matumiz ikibak kdogo ndo anawaza kuwekeza ndo ile mtu kabeti kapata mil 50 atanunua cm ya mil 3, gari mil 30 bata mil 15 hapo atazurula viwanja vyote vngne atavipandia ndege kbs plus na mademu ikibak iyo 2 ndo anawaza apatiemo hela ya kubet tena na biashara.Jumla zinafika 6million.
Mbona deni kidogo sana hili mkuuJumla zinafika 6million.
Sasa 6M , ndiyo yakukatisha tamaa, jikaze pambana , kama huna mwambie anayekudai huna utampa wakati mwingine, kama una vitu hutumii uza uwalipe , lakini milioni sita haipaswi kukuletea mawazo kiasi hiko.Jumla zinafika 6million.
Deni😀😄Na dawa ya kulipa ni nini?
Hamia kijijini, kule unalima unasubiri mavuno, unakula na kuweka hakiba mpaka msimu ujao.Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.