Nimefika Newala salama

Nimefika Newala salama

Karibu Newala ndugu,,wenyeji tupo hapa,,,leo ulienda Newala Pazuri..kesho elekea Big brother...baa Moja matata sana na bata mzinga kama wote....husisahau kuondoka na korosho Original kutoka hapa Newala....zilizookwa ambazo ni brown kilo Moja ni elf 13 tu.....ukiitaji kampani yangu kama ntakua free nichek dm
Kasema hahitaji kampani maana bodaboda kamwambia akitaka hata dent analetewa wewe endelea kudanga.
 
Hapo kwenye lodge elfu 5 umenogesha tu genge..uongo?!
Asante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.

Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.

Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.

Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..

# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.

Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.

But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.

Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.

Asante sana
 
Vipi ulienda na yale mabasi katikati yamekatwa wameweka marine board au ceiling board wanyuma economy wa mbele VIP.Buti la jeje na Maning sijui nani hukoo.Nchi inavituko hii.
Lengo uponde kwa lugha chafu za kashfa ila nikuambie kitu kimoja hakuna basi la aina hiyo huku newala
 
Lengo uponde kwa lugha chafu za kashfa ila nikuambie kitu kimoja hakuna basi la aina hiyo huku newala
Unaijua lugha chafu wewe? Nilienda Masasi mwaka juzi nikapanda bus limewekwa mambao katikati .Kama hujawahi kuyaona mimi hainihusu.
 
Hapo kwenye lodge elfu 5 umenogesha tu genge..uongo?!
Kadanganya huyo hakuna guest ya bei hiyo hapa newala zaidi ya guest moja ambayo wazinifu wanaenda inaitwa mponda guest house
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Unaijua lugha chafu wewe? Nilienda Masasi mwaka juzi nikapanda bus limewekwa mambao katikati .Kama hujawahi kuyaona mimi hainihusu.
Hilo bus linaitwaje? Kwasababu kwa mkoa wa mtwara ni mji wa masasi ndio unaotoa magari mengi kuelekea dar tena ni yakisasa
 
Hilo bus linaitwaje? Kwasababu kwa mkoa wa mtwara ni mji wa masasi ndio unaotoa magari mengi kuelekea dar tena ni yakisasa
Buti la Zungu wakanishusha mnazi mmoja nikala coaster mpaka Masasi.
 
Vipi ulienda na yale mabasi katikati yamekatwa wameweka marine board au ceiling board wanyuma economy wa mbele VIP.Buti la jeje na Maning sijui nani hukoo.Nchi inavituko hii.
Hapana mkuu zile bus ni og hazijafanyiwa ufundi wowote.

Kwa njia ya kusini, kaskazini, nyanda za juu kusini au lake zone Buti la jeje ndiye anaendeleza huo mtindo wa VIP wapo kivyao na economy wanajimwaga nyuma huko.

Usiwadharau kusini wapo vyedi, si kama yule wa Mwanza sijui 🍊 anajaribu.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Asante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.

Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.

Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.

Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..

# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.

Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.

But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.

Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.

Asante sana
Newala safi sana aisee!
Hivi mgahawa wa OMAX bado upo!!?
 
Back
Top Bottom