Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kwakwel inabid shkamoo ziwe zinatangulia...sema ndio hivyo sasa fake ids hiz zinatu level πππDogo ulisoma Ilala Primary??nami nilipita pale la kwanza 1987 mpaka la saba 1993,vijana muwe mnatuamkia humu
Kidato kimoja.Mwaka huo msiba wa mwalimu niko darasa la 3 ilala primary school iringa.πππ
Umenikumbusha mbali! Fika shimoni, ukibahatika kufika Mahuta. Hakuna sehemu naipenda kama Newala, ni waungwana na wakarimu ajabu. Mengine ni ya kawaida
Kasema hahitaji kampani maana bodaboda kamwambia akitaka hata dent analetewa wewe endelea kudanga.Karibu Newala ndugu,,wenyeji tupo hapa,,,leo ulienda Newala Pazuri..kesho elekea Big brother...baa Moja matata sana na bata mzinga kama wote....husisahau kuondoka na korosho Original kutoka hapa Newala....zilizookwa ambazo ni brown kilo Moja ni elf 13 tu.....ukiitaji kampani yangu kama ntakua free nichek dm
Asante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.
Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.
Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.
Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..
# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.
Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.
But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.
Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.
Asante sana
Kwa msimu kama huu inawezekana kabisa.Hapo kwenye lodge elfu 5 umenogesha tu genge..uongo?!
Wewe sema unaulizia jina la lodge kijanjaHapo kwenye lodge elfu 5 umenogesha tu genge..uongo?!
Hiyo itakuwa Guest House tena ile ya choo na bafu nje.. MnachihanguuuWewe sema unaulizia jina la lodge kijanja
Umeshaambiwa KALI, hebu tulia π€£Weka picha ya room yako na bathroom.
Lengo uponde kwa lugha chafu za kashfa ila nikuambie kitu kimoja hakuna basi la aina hiyo huku newalaVipi ulienda na yale mabasi katikati yamekatwa wameweka marine board au ceiling board wanyuma economy wa mbele VIP.Buti la jeje na Maning sijui nani hukoo.Nchi inavituko hii.
Njoo sokoni hukunpo newala mkuu tena pia ni mgeni huku, npo mahali panaitwa julia
Unaijua lugha chafu wewe? Nilienda Masasi mwaka juzi nikapanda bus limewekwa mambao katikati .Kama hujawahi kuyaona mimi hainihusu.Lengo uponde kwa lugha chafu za kashfa ila nikuambie kitu kimoja hakuna basi la aina hiyo huku newala
Kadanganya huyo hakuna guest ya bei hiyo hapa newala zaidi ya guest moja ambayo wazinifu wanaenda inaitwa mponda guest houseHapo kwenye lodge elfu 5 umenogesha tu genge..uongo?!
Hilo bus linaitwaje? Kwasababu kwa mkoa wa mtwara ni mji wa masasi ndio unaotoa magari mengi kuelekea dar tena ni yakisasaUnaijua lugha chafu wewe? Nilienda Masasi mwaka juzi nikapanda bus limewekwa mambao katikati .Kama hujawahi kuyaona mimi hainihusu.
Hiyo guest inaitwa mponda ipo kule ukipita ofisi ya elimu hiyo wazinifu huwa wanaenda kupiga showHiyo itakuwa Guest House tena ile ya choo na bafu nje.. Mnachihanguuu
Buti la Zungu wakanishusha mnazi mmoja nikala coaster mpaka Masasi.Hilo bus linaitwaje? Kwasababu kwa mkoa wa mtwara ni mji wa masasi ndio unaotoa magari mengi kuelekea dar tena ni yakisasa
Hapana mkuu zile bus ni og hazijafanyiwa ufundi wowote.Vipi ulienda na yale mabasi katikati yamekatwa wameweka marine board au ceiling board wanyuma economy wa mbele VIP.Buti la jeje na Maning sijui nani hukoo.Nchi inavituko hii.
Newala safi sana aisee!Asante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.
Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.
Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.
Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..
# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.
Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.
But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.
Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.
Asante sana