Nimefika salama Qatar kutokea Thailand kwa ajili ya kuangalia mechi za kombe la dunia

Sasa mbona umeficha uso na mikono yako? Tutajuaje sasa kama kweli ndiyo wewe! Au umeondoka bongo kwa kutoroka!

Usije ukawa umeuza nyumba ya urithi, halafu unaenda kuchezea hela ughaibuni! Aisee ukirudi patachimbika.
 
angalia usije ukawaletea tabia zakichoko watakula kuchwa hicho jichunge.
 
Umeelewa kwanini nimesema hivyo? Ni kama akijaribu kuhubiri imani nyingine huko. Uislamu huwa haujiamini, hautaki kupata changamoto ndio maana wanakuwa na sheria kali kuzuia watu kuleta imani tofauti na yao.
Kila sehemu na sheria zake ,unadhani kule ni bongo mtu anahubiri popote hata kwenye mabasi ?
 
Ndio maana nikampa tahadhari sasa nashangaa wewe ukaanzisha blah blah.
Kwani yeye ni mhubiri ?

Akili huna kiasi ambacho unashindwa kusoma uzi vizuri kung'amua pale alivyosema yeye Qatar ameenda mara nyingi zaidi na ukajiongeza kuwa jambo kama hilo ni rahisi sana kufahamu ?
 
Wewe ni mfia dini maskini tu. Waarabu ndio wanaongoza kwa kufanya huo ufirauni. Biblia inakataza huo upumbavu, anayefanya au kuunga mkono hayo ni maamuzi yake.
pole Sana naona ukweli unakuuma sana unajaribu kutetea ushenzi.
 
Kwani yeye ni mhubiri ?

Akili huna kiasi ambacho unashindwa kusoma uzi vizuri kung'amua pale alivyosema yeye Qatar ameenda mara nyingi zaidi na ukajiongeza kuwa jambo kama hilo ni rahisi sana kufahamu ?
Kama ameokoka basi anaruhusiwa kuhubiri kwa mtu mmoja au kikundi kidogo ingawa hawezi kuanzisha taasisi mpaka akidhi vigezo fulani.

Hata yeye amejitahadharisha kwamba wanaweza kumweka kizuizini hivyo sijui unabishania nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…