Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay umeeleweka, ila niliposema latitude na longitude nilimaanisha yupo kwenye exact location ipi?Longitudes help us to calculate time. * Time is measured by the movement of the earth. - The earth moves on its axis from West to East. It is called rotation. * It takes 24 hours for the earth to complete one rotation. - This means in 24 hours, the earth completes 360 degrees. - Hence, it takes about 4 minutes for crossing one degree of longitude (or it takes one hour in crossing 15 degrees of longitude) - Accordingly, the earth has been divided into 24 time zones of one hour each. - This means each place has different times of sunrise and sunset.
Huyo ni mtu mmoja. Chunguza vizuri nyuzi nyingi.Execute ndio Championship au ni mimi tu sielewi
Siku hizi kuanzia lini yani?! Siku hizi na wakati ni mashindano ya kila baada ya miaka minne?Yamepoa Sana haya mashindano siku hizi hayana mvuto.
Narudia tena huwezi kutenganisha ukristo na ukatoriki.Haufahamu chochote kuhusu ukristo. Kanisa la roma lilikuwa imara kabla Constantine hajaliingilia na kuifanya dini ya roman empire. Kanisa lilipokubali wanasiasa watoe mwongozo likapoteza network.
Mpaka kipindi Luther anaweka yale matamko 95 kanisa la rome na matawi yake yalikuwa corrupt. Sasa wao badala ya kutubu kufuatia zile thesis za Martin Luther wakaamua kupitisha vitabu 6 batili vinavyohalalisha upotofu wao.
Hapo kanisa halisi la Kristo likaendelezwa na akina Luther (hapa usiweke madhehebu kwasababu lengo la Luther halikuwa kuanzisha dhehebu bali kusimamia usahihi wa maandiko). Baada ya vizazi vya akina Luther kupita watu waliofuatia nao wakaanza upotofu kwa kuingiza mambo yasiyokuwepo kwenye biblia.
Hapo sasa ndio zikaja movements kama za baptist, methodist, reformed na wengineo. Msingi ni uleule wa kusimamia maandiko. Na tulipoingia kipindi cha ujazo wa Roho Mtakatifu hao nao wakapinga na hapo ndio charismatic, assemblies nk yakazaliwa. Msingi ni uleule wa kuhakikisha maandiko yanafuatwa.
Haya tena tumekuja kizazi cha kinabii na mitume. Hapo unakuta assemblies na charismatic nao wanasimama kuwapinga na kuwaona wamepotea. Yaani ni mambo yaleyale yanajirudia. Hakuna jambo jipya chini ya jua.
Watu wote wanaobakia kuwa dogmatic inapotokea Mungu anaachilia ufunuo mpya wanakuwa hawana tofauti na Mafarisayo waliomsulubisha Yesu wakiamini wanapigania dini yao.
Tuweni macho.
Naona umeamua kuongeza mazezeta wenzako wawili kupoteza maboya. Kumbe hao ndiyo walimu wako? Na wewe kumbe unaabudu picha ya Brian Deacon?😂😂 Naona umezimiss spana tunazokupiga ndugu muta. Hebu ulete huo ushahidi na mimi niaahidi kukupatia laki moja ukiuleta. Championship huwa anawabana sana koo akiwa na Mokiti na Che mittoga hivyo ni lazima ufanye uzushi ili ukimbie kujibu hoja zao.
Ndo sehemu naiwazaga sana kwenda...napenda sana nchi za asia kuliko maelezoAll the best mkuu ....Umenikumbusha my trip to Bangkok 2016
Siku nyingine ujitahidi kuna nyuzi uziruke. Usiwe zezeta kwa kuanzisha kila nyuzi na kujijibu mwenyewe😀.Itakuwa imekuuma sana jamaa kwenda nchi za waasia na waarabu wewe ukiwa hapo tandale na ukisafiri ni kwenda buza.🤣
Kichwa chako huwa ni kigumu. Umeombwa ushahidi umeshindwa kuuleta zaidi ya porojo.
Mshikaji amekuumbua. Amekuvua nguo. Kubali kuchutama yaishe.Nimegundua kwamba haya ni maoni na sio ushahidi hivyo naheshimu mawazo yako. Nasepa
Zinapimwa kwe GMT au Ruler?
GMT inapimwa na nini?
Umesoma Geography lakini?
Babu hao wana ligi zao wakaushieIdiot. Utakufa maskini kwa wivu na upotofu wa kidini.
Hapana, sijawahi kufanya kazi azam au chombo chochote cha habari.Kumbe wewe ni maujiriwa wa Azam, basi sawa.
Sitaki kufahamika kwa kutumia utambulisho huu wa ID fake. Ipo ID nyingine yenye jina langu, hiyo naweza kuweka picha.Sasa mbona umeficha uso na mikono yako? Tutajuaje sasa kama kweli ndiyo wewe! Au umeondoka bongo kwa kutoroka!
Usije ukawa umeuza nyumba ya urithi, halafu unaenda kuchezea hela ughaibuni! Aisee ukirudi patachimbika.
Ww una kijicho wivu ama ni namna gani? Kaa kwa kutulie hapo kiembe mbuzi.Upo Qatar ya misenyi?
Wivu mlionao vijukuu vya mtume utawaua bure. Grow up.Execute ndio Championship au ni mimi tu sielewi
Begi ni begi boss. Begi kubwa liliwekwa kwenye cargo compartment ya ndege.