Nimefika salama Qatar kutokea Thailand kwa ajili ya kuangalia mechi za kombe la dunia

Nimefika salama Qatar kutokea Thailand kwa ajili ya kuangalia mechi za kombe la dunia

Kusema waarabu ndyo wafanya hayo inabidi ulete ushahid.
Ktk nchi inayoongoza kuwa ma machoko wengi basi ni USA
Hakuna mfuasi wa kweli wa Kristo anayeweza kuunga mkono ushenzi huo hivyo endeleeni kupambana na waarabu wanaofanya hayo maovu.
 
Kwa hiyo kiongozi wako ni mpagani ila ww mfuasi ndio muumini wa kweli?
Huyo papa anaongoza roman catholic. Tatizo ni kwamba roman catholic inajitambulisha kama ni kanisa lakini mimi kwa kuisoma biblia naona hao sio kanisa la Yesu Kristo.

Wanaombea wafu, wanalo sanamu la bikira maria, wanaomba kupitia bikira maria, wananyunyiza watoto wakiita ubatizo, wanakataa kwamba mtu hawezi kuokoka hapa duniani nk. Mambo haya ni kinyume na neno la Mungu katika biblia takatifu.
 
Nilipanga mwaka huu niwepo viwanjani live na nimefanikiwa kufika Qatar. Ilibakia kidogo sana nikose maana moja ya client wetu alipata changamoto ya mifumo kule Bangkok na ikabidi nisafiri wiki hii kuweka mambo sawa.

Miaka yote kwenye kombe la dunia huwa nazipenda Ufaransa, Ujerumani na Italia lakini mwaka huu nitapenda Argentina abebe ili Messi amalize na mafanikio ambayo ni ndoto ya kila mchezaji mkubwa.

Nategemea upinzani mkali kutoka Spain, England, Portugal, France, Belgium, Germany na Brazil. Ninaamini kama Argentina hatabeba basi bingwa atakuwa moja ya timu hizo.

Pamoja na kuwepo kwa Gabriel Jesus na Gabriel Martinelli ambao ni vijana wa chama langu la Arsenal, bado Brazil ndio timu nisiyoipenda zaidi ikifuatiwa na Portugal halafu England.

Kwa upande wa Afrika huwa napenda Nigeria na Cameroon ila mwaka huu nawapendelea zaidi Senegal na ninaamini wataliletea heshima bara letu kwa kufika nusu fainali ingawa Mane ana hatihati ya kutocheza.

Jamaa zangu wavaa kobazi huwa tunataniana na kuelimishana hapa jukwaani. Mnitakie heri maana huku nimepanga niondoke na watu watano wenyeji wa Qatar watakaotoa maisha yao kwa Bwana Yesu Kristo.

Qatar ndio nchi niliyowahi kufika mara nyingi zaidi hapa duniani ukiondoa Tanzania ambako ni nyumbani hivyo naifahamu pamoja na ukali wa sheria zao. Safari hii nitakuwa na muda wa kutalii kiasi na kupiga gombo. Hopeful hawataniweka kizuizini.😂

Wale jamaa wa tupia kapicha nimewawekea hapo chini nikiwa Suvarnabhumi international airport pale Bangkok na nilipofika Hamad international airport hapa Qatar.

Natarajia wengi tutapata msukumo wa kujiandaa ili tukutane US, Canada na Mexico mwaka 2026.

Nawatakia world cup njema

Suvarnabhumi international airport

View attachment 2420567

Hamad international airport

View attachment 2420568
Mkuu si utakuwa unatupia humu updates, mapicha picha, tu video, si ndio?
 
Huyo papa anaongoza roman catholic. Tatizo ni kwamba roman catholic inajitambulisha kama ni kanisa lakini mimi kwa kuisoma biblia naona hao sio kanisa la Yesu Kristo.

Wanaombea wafu, wanalo sanamu la bikira maria, wanaomba kupitia bikira maria, wananyunyiza watoto wakiita ubatizo, wanakataa kwamba mtu hawezi kuokoka hapa duniani nk. Mambo haya ni kinyume na neno la Mungu katika biblia takatifu.
Acha kujifariji madhehebu yote ya kikirsito yametokana na kanisa katoliki.
 
Acha kujifariji madhehebu yote ya kikirsito yametokana na kanisa katoliki.
Haufahamu chochote kuhusu ukristo. Kanisa la roma lilikuwa imara kabla Constantine hajaliingilia na kuifanya dini ya roman empire. Kanisa lilipokubali wanasiasa watoe mwongozo likapoteza network.

Mpaka kipindi Luther anaweka yale matamko 95 kanisa la rome na matawi yake yalikuwa corrupt. Sasa wao badala ya kutubu kufuatia zile thesis za Martin Luther wakaamua kupitisha vitabu 6 batili vinavyohalalisha upotofu wao.

Hapo kanisa halisi la Kristo likaendelezwa na akina Luther (hapa usiweke madhehebu kwasababu lengo la Luther halikuwa kuanzisha dhehebu bali kusimamia usahihi wa maandiko). Baada ya vizazi vya akina Luther kupita watu waliofuatia nao wakaanza upotofu kwa kuingiza mambo yasiyokuwepo kwenye biblia.

Hapo sasa ndio zikaja movements kama za baptist, methodist, reformed na wengineo. Msingi ni uleule wa kusimamia maandiko. Na tulipoingia kipindi cha ujazo wa Roho Mtakatifu hao nao wakapinga na hapo ndio charismatic, assemblies nk yakazaliwa. Msingi ni uleule wa kuhakikisha maandiko yanafuatwa.

Haya tena tumekuja kizazi cha kinabii na mitume. Hapo unakuta assemblies na charismatic nao wanasimama kuwapinga na kuwaona wamepotea. Yaani ni mambo yaleyale yanajirudia. Hakuna jambo jipya chini ya jua.

Watu wote wanaobakia kuwa dogmatic inapotokea Mungu anaachilia ufunuo mpya wanakuwa hawana tofauti na Mafarisayo waliomsulubisha Yesu wakiamini wanapigania dini yao.

Tuweni macho.
 
Zinapimwa kwe GMT au Ruler?
GMT inapimwa na nini?
Umesoma Geography lakini?
Longitudes help us to calculate time. * Time is measured by the movement of the earth. - The earth moves on its axis from West to East. It is called rotation. * It takes 24 hours for the earth to complete one rotation. - This means in 24 hours, the earth completes 360 degrees. - Hence, it takes about 4 minutes for crossing one degree of longitude (or it takes one hour in crossing 15 degrees of longitude) - Accordingly, the earth has been divided into 24 time zones of one hour each. - This means each place has different times of sunrise and sunset.
 
Back
Top Bottom