Nimefika state ya furaha yangu haitaji mtu yeyote Yule . Nashindwa kuona . Na party sana

Nimefika state ya furaha yangu haitaji mtu yeyote Yule . Nashindwa kuona . Na party sana

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I will be short

Any way very late 20s . Sina mtoto sina Mchumba , Ila na pisi Kama 3000 hivi .

Any way nilijikubali kuwa furaha yangu is my own kitambo sana . Yani hata Dunia nzima mpotee mda huu Mimi fresh tu .

Issue living with these women . Mimi nimeshindwa maana Sina unhappy memories ni good life tu . My business is my own sigusi ya watu hii kitu ina ni Tesa .

Jamii I Naona Kama nazingua kumbe nilivyo jiset . Never in other people business . Hizi pisi kila siku shida nitaweza kweli .

Shida za watu na solve then na deal na yangu tu . Kama wazungu . Sasa Hizi pisi za 2000 zimejaa shida daily
 
I will be short

Any way very late 20s . Sina mtoto sina Mchumba , Ila na pisi Kama 3000 hivi .

Any way nilijikubali kuwa furaha yangu is my own kitambo sana . Yani hata Dunia nzima mpotee mda huu Mimi fresh tu .

Issue living with these women . Mimi nimeshindwa maana Sina unhappy memories ni good life tu . My business is my own sigusi ya watu hii kitu ina ni Tesa .

Jamii I Naona Kama nazingua kumbe nilivyo jiset . Never in other people business . Hizi pisi kila siku shida nitaweza kweli .

Shida za watu na solve then na deal na yangu tu . Kama wazungu . Sasa Hizi pisi za 2000 zimejaa shida daily
Jitahidi ku solve unazoziweza
 
I will be short

Any way very late 20s . Sina mtoto sina Mchumba , Ila na pisi Kama 3000 hivi .

Any way nilijikubali kuwa furaha yangu is my own kitambo sana . Yani hata Dunia nzima mpotee mda huu Mimi fresh tu .

Issue living with these women . Mimi nimeshindwa maana Sina unhappy memories ni good life tu . My business is my own sigusi ya watu hii kitu ina ni Tesa .

Jamii I Naona Kama nazingua kumbe nilivyo jiset . Never in other people business . Hizi pisi kila siku shida nitaweza kweli .

Shida za watu na solve then na deal na yangu tu . Kama wazungu . Sasa Hizi pisi za 2000 zimejaa shida daily
Sa tukushaurije?
Kusolve matatizo ya pisi 3000 au

250 nywele zimefumka
1320 hawajala
120 wanaodaiwa vikoba
45 kesho basdei Yao
1500 hawana vocha
80 wanataka simu mpya
875 Kodi inakribia kuisha

🤷🤷🤷
 
Umekimbia jukwaa la michezo na uchambuzi wako uchwara,utaweza huku mkuu?
 
Back
Top Bottom