Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Mzee wako Mohamed said kila siku analalamika waislamu wanaonewa na kunyimwa fulsa tokea kipindi cha nyerereRuvuma na Rukwa hawajakaa wao na hapajaendelea jee tumlaumu nani??
Hii Dar yenyewe maendeleo ya biashara wamehodhi wao kwa 65+%.