๐๐๐๐ hapo hapo KanyenyeHajapelekwa Kanyenye huyu....๐คจ
Kule anapata kuanzia nunu grade one nadi ya kupima...๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐ hapo hapo KanyenyeHajapelekwa Kanyenye huyu....๐คจ
Kule anapata kuanzia nunu grade one nadi ya kupima...๐
FuRsa za geita utaziona kwa macho ila kiuhalisia hazipo,mpaka umtoe kafara ndugu yakoMkuu Bush,
Nisome taratibu na kunielewa.
Hapana sehemu nimesema kuhusu kutoboa nimesema zipo fursa.
Geita kuna vijana wanapata pesa nyingi sana lakini wanaotoboa ni wachache, wengi zikiishia kwenye katikati ya mapaja na pombe.
Nimezungumzia kutoka nje ya kariakoo, nilikuwa na mentality ya kariakoo ni kila kitu na Nina ofisi mpaka sasa, lakini nilipotoka nimejifunza kuna fursa nyingi sana.
Soma unielewe nimezungumzia fursa sio kutoboa, ndio maana Unaweza ukawa na rafiki yako mmeajiriwa Polisi mwaka mmoja, mna cheo sawa kwa maana mlipata fursa Lakini akakushinda maendeleo.
Mapambano yaendelee mkuu.
Haijui Tabora huyo,aje anitafute nimpeleke Ipuli kwa Zamda tetemesha,๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMkuu ebu njoo hapa Oxygen then twende tukale monde hapo Terres kwa nje tukitazama geti la Uhazili uone watoto wakareeeee wanavyo kwenda na kurudi...๐
Stori za kutoana kafara ni stori za vijiweni na za uongo.FuRsa za geita utaziona kwa macho ila kiuhalisia hazipo,mpaka umtoe kafara ndugu yako
[emoji16][emoji16][emoji16]daaKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
Na kamariKama beer zipo na malaya basi hapo ni mjini. Hizo ndio criteria
I can't live there kwa kweliSikonge ni kawilaya kahivyo kupindikia, yaani wazee wa kule wakiamka asubuhi ni kukaa vibarazani na kucheza bao na wakitoka msikitini wanamalizia siku kwenye vijiwe vya kahawa.
Wajukuu zao wengi ni wavivu grade one, wanashinda kwenye pultebo na chakushangaza watoto wao wengi wa kiume walikimbilia mijini na wakike wamebakiza kuzaa na kuwaleta wajukuu zao walelewe kwa babu na bibi
Duuuuh, Mapenzi hayajawahi kuleta maendeleo mzeeNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Uko sahihi mkuu, ni kama Kondoa.Uarabu + Uislam baba..... Mahali alipopita Muarabu, akaacha uislamu, sawa na mtu alopita akaachia "USHUZI".....
Huko kuna mamwinyi, kuna wapenda ccm kindakindako.Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Naskia anamikato ya kukata kigodoro hadi ndani ya gari na ntikisiko wa zigo la ulemtako ndo balaa yani...๐Haijui Tabora huyo,aje anitafute nimpeleke Ipuli kwa Zamda tetemesha,๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Watu wa Dar mmekariri kuwa mjini lazima pawe na maghorofa marefu.Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Kazi kweli kweliUrambo na Sikonge hazijaendelea kabisa mkuu, tangu miaka ya 80's to date bado naiona haibadiliki kabisa
Asante kwa historia hiiMpaka tunapata uhuru mji wa Tabora ulikuwa mji wa tatu yaani Dar, Tanga na Tabora. Tabora ni mji wa njiapanda kati ya Dar, Kigoma na Mwanza na ulikuwa na shule mbili maarufu yaani Tabora Girls na Tabora Boys, shule zilizoanzishwa na mkoloni kwa ajili ya watoto wa machifu, hata hivyo viongozi wengi walisoma hapo, pia kuna chuo cha Uhazili na chuo cha Reli.
Kwenye harakati za Uhuru Tabora ilikuwa ndiyo kitovu cha harakati za uhuru mikutano ikifanyika kwenye ukumbi wa kanisa Katoliki.
Kilichotokea baada ya uhuru ni kunyofolewa nishani zote ulizokuwa nazo na ukatelekezwa, hayo mambo ya siasa na mitazamo hasi ya kikabila, kumbukeni kesi ya chifu Fundikira wakati huo alikuwa Waziri, kesi
iliyowashitua wanyamwezi na ndiyo chanzo cha wanyamwezi kujaa Kigamboni kwani wakati wa kesi walikuja toka Tabora wakawa wanalala nje ya mahakama karibu na Dar Es Salaam Yatch Club wakati huo, walipoondolewa wakahamia Kigamboni ambapo ni karibu na mahakama.
Wanaoujua mji huo kabla na wakati wa uhuru ni mji uliokuwa na ustawi mkubwa, ulikuwa makao makuu ya Kamishna wa Jimbo la Magharibi.
Huu ni uongo.Uarabu + Uislam baba..... Mahali alipopita Muarabu, akaacha uislamu, sawa na mtu alopita akaachia "USHUZI".....
Ruvuma na Rukwa hawajakaa wao na hapajaendelea jee tumlaumu nani??... Niji yote waliyokaa wale tuliowapa Bandari Haina Maendeleo ! Chunguza.... [emoji846]
Umeongea sahihi maisha sio marahisi kama wengi wanavyodhaniHuko unakosema kuna fursa kuna watu kibao wako huko na hawajatoboa na hizo fursa.
Usione watu ukadhini ni wajinga.
Ukisikia Kilo ya Mahindi Tanga au Mbarali Mbeya ni Tsh 500 tu.
Ukienda Dar kilo ya Sembe ni Tsh 2000.
Unaweza kujiuliza kwanini watu wa huko hawafanyi viashara ya Mahindi kupeleka Dar?
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Kondoa hakuna masalia ya waarabu msitake kutudanganya.Uko sahihi mkuu, ni kama Kondoa.